Sijaoa bado.Kaka umeoa? Km bado ni piem una kitu wewe [emoji12]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaoa bado.Kaka umeoa? Km bado ni piem una kitu wewe [emoji12]
Sijaoa bado.
Kitu gani?Una kitu wewe [emoji4]
Kitu gani?
Ok.Ntakwambia pm [emoji23][emoji23]
sasa kama kuna shida kwanini unune? ukiongea si ndo atajua amekosea wapi
naombeni majibu tafadhali
ndio nimeoa....Jibu la nini? Umeoa wewe?
Oa kwanza ndio tukujibu
Nilifunga , sema nilijaribu ku-kupm inazingua.[emoji23][emoji23][emoji23]
Pm si iko wazi? Au umefunga?
ndio nimeoa....
Nilifunga , sema nilijaribu ku-kupm inazingua.
we mkinga unajitahidi sana kujificha ila unashindwa🤣Parachute au sabuni? [emoji1787]
Kujificha na nini?we mkinga unajitahidi sana kujificha ila unashindwa🤣
inside jokes tu usiwaze😂Kujificha na nini?
Ok, njoo uniambie kuhusu hicho kitu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Endelea itakubali tu.
Hapo ogopa ujue kuna mtu anasumbua au madeni ya vikoba🤣🙄🤔Unamuuliza hakujibu,
Shida nini hakujibu
Umekosea wapi!? Hakujibu
Yani yupo kama yupo tu!?
Unaomba game.. anakupa, ila yupo tu.
Unamaliza , yupo tuu..
Yani yupo tu.
Unaanza kujiuliza umekosea wapi!? Huoni, hukumbuki. Kuna kitu ulimfanyia, hukumbuki.
Basi tu, kaamua kukutesa. Nyie Wanawakee?
we mkinga unajitahidi sana kujificha ila unashindwa[emoji1787]