bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
We fata hisia zako uishi long,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtafute shoga yakehuyo mwanamke aseme sasa kosa liko wapi atanuna mpaka lini?
Mikopo ya mitaani inawatesa kina dada / kina mama sana .. Wanakopa kwa dhamana ya kitanda, TV na makochi ya waume bila kushirikisha waume zao ... Wakikosa marejesho wanaendeleza kufanya mambo ya siri ili wapate marejesho na muda wote wanakuwa kwenye msongo mzito wa mawazo..Umewaza kama nilivyowaza.
Pia ni rahisi sana kukwambia ukweli ukiwa smart.
Jifanye kuwa hupendi kumuona akiwa vile na uko tayari kumsamehe kabisa akisema ukweli.
Mtoe out,mkachome nyama MAHALI jioni jioni!!Unamuuliza hakujibu,
Shida nini hakujibu
Umekosea wapi!? Hakujibu
Yani yupo kama yupo tu!?
Unaomba game.. anakupa, ila yupo tu.
Unamaliza , yupo tuu..
Yani yupo tu.
Unaanza kujiuliza umekosea wapi!? Huoni, hukumbuki. Kuna kitu ulimfanyia, hukumbuki.
Basi tu, kaamua kukutesa. Nyie Wanawakee?
Una safari ndefu sana katika maisha kwa mentality hiiSio kila kitu ni kuwalaumu wanawake. Sisi ndo tunatakiwa tujilaumu kwanini hatujafikia kwenye ubora unaotakiwa.
Imagine umemsaliti mwanamke, unaexpect atakuchekea?
Imagine humpi pesa ya matumizi, unataka akuchekee?
Imagine humpi ushirikiano kilichowahalalisha, unadhani atakuchekea?
Imagine unalewa vibaya na kuisahau familia, unadhani atakuchekea?
Asilimia kubwa ya matatizo yanayowakumba wanawake ni makosa yetu na uvivu wa kutotaka kuyarekebisha.
Kwanini mkuu?Una safari ndefu sana katika maisha kwa mentality hii
Sio kila kitu ni kuwalaumu wanawake. Sisi ndo tunatakiwa tujilaumu kwanini hatujafikia kwenye ubora unaotakiwa.
Imagine umemsaliti mwanamke, unaexpect atakuchekea?
Imagine humpi pesa ya matumizi, unataka akuchekee?
Imagine humpi ushirikiano kilichowahalalisha, unadhani atakuchekea?
Imagine unalewa vibaya na kuisahau familia, unadhani atakuchekea?
Asilimia kubwa ya matatizo yanayowakumba wanawake ni makosa yetu na uvivu wa kutotaka kuyarekebisha.
Wanawake hawajui wanataka nini na kamwe hutaweza kujua anataka nini. Jukumu lako ni kumfanya ajue wewe unataka nini.Kwanini mkuu?
daah! Umeenda mbali sana, kwenye hela?!!!!!!Sio kila kitu ni kuwalaumu wanawake. Sisi ndo tunatakiwa tujilaumu kwanini hatujafikia kwenye ubora unaotakiwa.
Imagine umemsaliti mwanamke, unaexpect atakuchekea?
Imagine humpi pesa ya matumizi, unataka akuchekee?
Imagine humpi ushirikiano kilichowahalalisha, unadhani atakuchekea?
Imagine unalewa vibaya na kuisahau familia, unadhani atakuchekea?
Asilimia kubwa ya matatizo yanayowakumba wanawake ni makosa yetu na uvivu wa kutotaka kuyarekebisha.
Sawa sikatai lakini ndo ushindwe kumwambia honey wako?.. Sasa utamuambia Nani kweli Kama usipomuambia mume wakoKuna muda mood inakuwa off tuu, wanawake hasa mama wanapitia mengi, majukumu ya nyumbani plus malezi yanachosha sana kiasi kwamba hata mtu akikuuliza shida nini huwezi hata kuelezea.
[emoji2][emoji2] umeshtuka sasa eehSomething is not right..
Na sitaki kuwa mpumbavu.
Watakuchukia sana kwa hii statement yako shemegi....Sio kila kitu ni kuwalaumu wanawake. Sisi ndo tunatakiwa tujilaumu kwanini hatujafikia kwenye ubora unaotakiwa.
Imagine umemsaliti mwanamke, unaexpect atakuchekea?
Imagine humpi pesa ya matumizi, unataka akuchekee?
Imagine humpi ushirikiano kilichowahalalisha, unadhani atakuchekea?
Imagine unalewa vibaya na kuisahau familia, unadhani atakuchekea?
Asilimia kubwa ya matatizo yanayowakumba wanawake ni makosa yetu na uvivu wa kutotaka kuyarekebisha.
🤣🤣🤣Dawa Yenu ni moja ukila gundi mwenzio anaweka super glue kabisa. Minyanduo ya kimya kimya tuSawa mkuu mpe muda na kesho msikilize kwa mapenzi yote, funny enough unaweza kuta wewe upo worried kama hivi kumbe kagombana na mama Aslay kwenye vicoba huko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kila kitu ni kuwalaumu wanawake. Sisi ndo tunatakiwa tujilaumu kwanini hatujafikia kwenye ubora unaotakiwa.
Imagine umemsaliti mwanamke, unaexpect atakuchekea?
Imagine humpi pesa ya matumizi, unataka akuchekee?
Imagine humpi ushirikiano kilichowahalalisha, unadhani atakuchekea?
Imagine unalewa vibaya na kuisahau familia, unadhani atakuchekea?
Asilimia kubwa ya matatizo yanayowakumba wanawake ni makosa yetu na uvivu wa kutotaka kuyarekebisha.