Unapomuona mke wako hana furaha na hana amani inasumbua sana

Unapomuona mke wako hana furaha na hana amani inasumbua sana

Umewaza kama nilivyowaza.

Pia ni rahisi sana kukwambia ukweli ukiwa smart.

Jifanye kuwa hupendi kumuona akiwa vile na uko tayari kumsamehe kabisa akisema ukweli.
Mikopo ya mitaani inawatesa kina dada / kina mama sana .. Wanakopa kwa dhamana ya kitanda, TV na makochi ya waume bila kushirikisha waume zao ... Wakikosa marejesho wanaendeleza kufanya mambo ya siri ili wapate marejesho na muda wote wanakuwa kwenye msongo mzito wa mawazo..
 
Unamuuliza hakujibu,

Shida nini hakujibu

Umekosea wapi!? Hakujibu

Yani yupo kama yupo tu!?

Unaomba game.. anakupa, ila yupo tu.

Unamaliza , yupo tuu..

Yani yupo tu.

Unaanza kujiuliza umekosea wapi!? Huoni, hukumbuki. Kuna kitu ulimfanyia, hukumbuki.

Basi tu, kaamua kukutesa. Nyie Wanawakee?
Mtoe out,mkachome nyama MAHALI jioni jioni!!

Kaeni sehemu tulivu muongee!!

Hakikisha nyama na kinywaji vinamkolea VIZURI!!

Atafunguka pole Pole man!!
 
Sio kila kitu ni kuwalaumu wanawake. Sisi ndo tunatakiwa tujilaumu kwanini hatujafikia kwenye ubora unaotakiwa.

Imagine umemsaliti mwanamke, unaexpect atakuchekea?
Imagine humpi pesa ya matumizi, unataka akuchekee?
Imagine humpi ushirikiano kilichowahalalisha, unadhani atakuchekea?
Imagine unalewa vibaya na kuisahau familia, unadhani atakuchekea?

Asilimia kubwa ya matatizo yanayowakumba wanawake ni makosa yetu na uvivu wa kutotaka kuyarekebisha.
Una safari ndefu sana katika maisha kwa mentality hii
 
Sio kila kitu ni kuwalaumu wanawake. Sisi ndo tunatakiwa tujilaumu kwanini hatujafikia kwenye ubora unaotakiwa.

Imagine umemsaliti mwanamke, unaexpect atakuchekea?
Imagine humpi pesa ya matumizi, unataka akuchekee?
Imagine humpi ushirikiano kilichowahalalisha, unadhani atakuchekea?
Imagine unalewa vibaya na kuisahau familia, unadhani atakuchekea?

Asilimia kubwa ya matatizo yanayowakumba wanawake ni makosa yetu na uvivu wa kutotaka kuyarekebisha.

[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Sio kila kitu ni kuwalaumu wanawake. Sisi ndo tunatakiwa tujilaumu kwanini hatujafikia kwenye ubora unaotakiwa.

Imagine umemsaliti mwanamke, unaexpect atakuchekea?
Imagine humpi pesa ya matumizi, unataka akuchekee?
Imagine humpi ushirikiano kilichowahalalisha, unadhani atakuchekea?
Imagine unalewa vibaya na kuisahau familia, unadhani atakuchekea?

Asilimia kubwa ya matatizo yanayowakumba wanawake ni makosa yetu na uvivu wa kutotaka kuyarekebisha.
daah! Umeenda mbali sana, kwenye hela?!!!!!!
 
Kuna muda mood inakuwa off tuu, wanawake hasa mama wanapitia mengi, majukumu ya nyumbani plus malezi yanachosha sana kiasi kwamba hata mtu akikuuliza shida nini huwezi hata kuelezea.
Sawa sikatai lakini ndo ushindwe kumwambia honey wako?.. Sasa utamuambia Nani kweli Kama usipomuambia mume wako
 
Mi nawazaga huenda hizi dawa za uzazi wa mpango Kuna namna inaharibu Utendaji kazi mzuri wa ubongo wa mwanamke. Na pia we mwanamke unaenunanuna utanuna Mpaka lini?. Mana Kama kuna shida kaa na mwenzako chini muyamalize, unazeeka mapema na presha juu kisa tu Mambo yasiyo na msingi, Familia yako ndio kila kitu, Na familia yenye afya Ni yenye furaha na mawasiliano mazuri.
 
Sio kila kitu ni kuwalaumu wanawake. Sisi ndo tunatakiwa tujilaumu kwanini hatujafikia kwenye ubora unaotakiwa.

Imagine umemsaliti mwanamke, unaexpect atakuchekea?
Imagine humpi pesa ya matumizi, unataka akuchekee?
Imagine humpi ushirikiano kilichowahalalisha, unadhani atakuchekea?
Imagine unalewa vibaya na kuisahau familia, unadhani atakuchekea?

Asilimia kubwa ya matatizo yanayowakumba wanawake ni makosa yetu na uvivu wa kutotaka kuyarekebisha.
Watakuchukia sana kwa hii statement yako shemegi....
 
Sio kila kitu ni kuwalaumu wanawake. Sisi ndo tunatakiwa tujilaumu kwanini hatujafikia kwenye ubora unaotakiwa.

Imagine umemsaliti mwanamke, unaexpect atakuchekea?
Imagine humpi pesa ya matumizi, unataka akuchekee?
Imagine humpi ushirikiano kilichowahalalisha, unadhani atakuchekea?
Imagine unalewa vibaya na kuisahau familia, unadhani atakuchekea?

Asilimia kubwa ya matatizo yanayowakumba wanawake ni makosa yetu na uvivu wa kutotaka kuyarekebisha.

Hapa tunajadili sanamu lako tulijenge kwenye jukwaa gani? [emoji12]
 
Back
Top Bottom