antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Labda humkojoziUnaanza kujiuliza umekosea wapi!? Huoni, hukumbuki. Kuna kitu ulimfanyia, hukumbuki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda humkojoziUnaanza kujiuliza umekosea wapi!? Huoni, hukumbuki. Kuna kitu ulimfanyia, hukumbuki.
Sometimes chelewa kurudi home ukirudi usile mwambie umeshiba, atakuongelesha mwenyeweUnamuuliza hakujibu,
Shida nini hakujibu
Umekosea wapi!? Hakujibu
Yani yupo kama yupo tu!?
Unaomba game.. anakupa, ila yupo tu.
Unamaliza , yupo tuu..
Yani yupo tu.
Unaanza kujiuliza umekosea wapi!? Huoni, hukumbuki. Kuna kitu ulimfanyia, hukumbuki.
Basi tu, kaamua kukutesa. Nyie Wanawakee?
Ukikua utaacha ujinga huu.Unamuuliza hakujibu,
Shida nini hakujibu
Umekosea wapi!? Hakujibu
Yani yupo kama yupo tu!?
Unaomba game.. anakupa, ila yupo tu.
Unamaliza , yupo tuu..
Yani yupo tu.
Unaanza kujiuliza umekosea wapi!? Huoni, hukumbuki. Kuna kitu ulimfanyia, hukumbuki.
Basi tu, kaamua kukutesa. Nyie Wanawakee?
Umewaza kama nilivyowaza.Hana furaha wala amani?
Mwanamke aliyefanya mambo yake kisiri siri na amekuja gundua hiyo siri itavuja muda wowote hawezi kuwa na amani wala furaha..
Chakula cha ndoa anakupa kama kawaida kama ulivyodaia!!
Hili ni tatizo tena kubwa na unapaswa kuanza kuchukua tahadhari mapema maana inavyoonekana kuna jambo huenda amelifanya huko na ana amini umeshalijua..
Mwisho: huo ni msongo wa mawazo unamtatiza na tiba ni akueleze ni kipi kinamsumbua..
Mwanamke niliyemwamini alikimbia kwa sababu tajwa hapo juu.
Usitupie lawama zote kwa wanaume.Sio kila kitu ni kuwalaumu wanawake. Sisi ndo tunatakiwa tujilaumu kwanini hatujafikia kwenye ubora unaotakiwa.
Imagine umemsaliti mwanamke, unaexpect atakuchekea?
Imagine humpi pesa ya matumizi, unataka akuchekee?
Imagine humpi ushirikiano kilichowahalalisha , unadhani atakuchekea?
Imagine unalewa vibaya na kuisahau familia, unadhani atakuchekea?
Asilimia kubwa ya matatizo yanayowakumba wanawake ni makosa yetu na uvivu wa kutotaka kuyarekebisha.
Halafu kuwa busy na mambo mengine,ukifika kitandani lalaSometimes chelewa kurudi home ukirudi usile mwambie umeshiba, atakuongelesha mwenyewe
Haha tena usijishughulishe hata kumtaka, jifanye umesahau kabisa kuwa ana utamuHalafu kuwa busy na mambo mengine,ukifika kitandani lala
Kuna kitabu kinaitwa men are from mars women are from venus, kuna chapters zinaelezea "men are like rubber bands women are like sea waves" hapo utapata majibu yako.....kama unajua haujamkosea usimlazimishe muache ni kipindi tu kitapita.Nataka nimforce afunguke..
Naleta mrejesho soon.
Usimlazimishe, mshawishi kwa upendo wa hali ya juu.Nataka nimforce afunguke..
Naleta mrejesho soon.
Women wanapenda attention usipompa attention inamuathiri vibaya mnoHaha tena usijishughulishe hata kumtaka, jifanye umesahau kabisa kuwa ana utamu
[emoji16][emoji16][emoji16]Kuna kitabu kinaitwa men are from mars women are from venus, kuna chapters zinaelezea "men are like rubber bands women are like sea waves" hapo utapata majibu yako.....kama unajua haujamkosea usimlazimishe muache ni kipindi tu kitapita.
Vipi 😃[emoji16][emoji16][emoji16]
Unatumia mtutu amaNataka nimforce afunguke..
Naleta mrejesho soon.
Nyie ni bendera fuata upepo sio[emoji1]Vipi [emoji2]
Anakufa kufa ndani yakeWomen wanapenda attention usipompa attention inamuathiri vibaya mno
Wala kuna vitu huwa vipo tu naturally haviepukiki na havielezeki sasa kuna waandishi wamefanikiwa kuvieleza onNyie ni bendera fuata upepo sio[emoji1]
Anakusoma hapa so hakuna mrejesho maana hatakwambia lolote zaidi ya kuendelea kununa.Nataka nimforce afunguke..
Naleta mrejesho soon.