Unapomvua nguo binti mrembo na kukuta mwili wake una chale kibao huwa unapata picha gani?

Unapomvua nguo binti mrembo na kukuta mwili wake una chale kibao huwa unapata picha gani?

Kaamua kujipamba na tattoo za asili tu huyo
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Umeenda mahala kula mzigo na una hamu kinyama na binti mrembo na anakubali umtafune na umvue nguo zake.

Lakini ukimvua tu nguo unakutana na chale mwili mzima za kila aina.

Hapa unapata picha gani?

Utapiga mzigo na kunasa?

Binti ni mzee wa kazi?
Ntajua ameweka silaha za ulinzi.Kila nchi ni vema ikawa na ulinzi imara.Halafu,kwa nini unachunguzachunguza?Haujasoma misemo ya kiswahili?Usimchunguze sana bata.
 
Watu huwa mnajipa kazi za kipuuzi sana, chale zake mi zanihusu nini?
 
Na bado anaweza kwenda huko na bado asifanikiwe aidha kwa uwezo mdogo wa mtaalam ama kwa ulinzi binafsi na nguvu ya kiasili ya kiroho uliyonayo
Fafanua kidogo kuhusu nguvu ya asili ya kiroho hapo umeniacha kidogo

Inawezekana mtu asiye na hatia akarogeka?
 
Kuwa na chale ni kawaida, watu wanapitia mengi; inawezekana hizo chale hazina mahusiano na wewe
 
nawale walio dondokaga enzi juu ya mbuyu wakapata makovu nao mnawachukuliaje?
 
🔴Ni dalili kuwa ni mshirikina ama yeye ama wazazi wake

🔴 Mara nyingi chale hazifutiki milele kwa sababu ni alama ya shetani

🔴 Huyo ukibeba ujue suluhisho la matatizo yake ni kwa waganga hivyo mambo kama limbwata na kukaliwa juu hafanye anachokitaka kwako ni chakawaida

🔴 Huyo ukibeba ujue kwenye ukoo wao kuna mafundi wa kienyeji ama wazazi wake na akizeeka naye atakuwa pro

🔴Huyo ukibeba usije ukawa unalea watoto wa waganga halafu anakudanganya unafanana nao maana utafiti unaonyesha asilimia kubwa ya wanawake washirikina hutafunwa na waganga
 
Kuna wandele hawana chale hata moja lakini ni wachafu bata kasingiziwa... Hawa kiroho na hata kimwili wana madhara makubwa kuliko mwenye makovu yake ya kuchanjwa
Wandele ndio wanatokea mkoa gan
 
Napata hisia kuwa nawat***mber wote,yeye na wachawi wenzake wote,napigilia mikuki tu kmmqe kwa hasira sana
 
Umeenda mahala kula mzigo na una hamu kinyama na binti mrembo na anakubali umtafune na umvue nguo zake.

Lakini ukimvua tu nguo unakutana na chale mwili mzima za kila aina.

Hapa unapata picha gani?

Utapiga mzigo na kunasa?

Binti ni mzee wa kazi?
Niliwahi kuna na mahusiano na dada fulani, moja ya sababu ya kuachana naye ni uwepo wa hizo chale chale mwilini mwake.
 
Back
Top Bottom