Unapomvua nguo binti mrembo na kukuta mwili wake una chale kibao huwa unapata picha gani?

Unapomvua nguo binti mrembo na kukuta mwili wake una chale kibao huwa unapata picha gani?

Umenikumbusha nilikuwa napiga sound pisi moja ikakubali shida ikawa kila nikipanga tuonane anakuwa anasitasita..siku moja nikakomaa nayo akaniambia sawa ila iwe kuanzia saa moja na nusu usiku..kwenda ananiambia zima taa nikala kimoja chap...baada ya hapo akaanza kujieleza mwenyewe ujue ule mtaa tunaokaa unawachawi sana bila kuchanjwa usiku hulali. Ndugu msomaji kutaahamaki binti alikuwa mweupe amechanjwachanjwa vile vialama viusi ukikwaruzwa na mwiba au kijiti juu ya matiti kuja mgongoni...hapohapo mashine ikanywea na mechi ikaisha hapo..na sikumtaka tena
Acha woga..wanaume tumebaki wachache
VIjana wa siku hizi mmekua laini sana na waoga kama dada zenu.

Mwanaume haogopi vitu vidogo hivyo.
Ndio nyie mnaambiwa na mama zenu msioe wamachame watawauwa. Bladfakingi
 
Back
Top Bottom