Unapoona juhudi za kuwapiga chapuo makandarasi wa ndani zimeshika kasi ujue kuna mtu amefungua kampuni lake la ujenzi

Umaskini ni Mtazamo

Umaskini ni mpangoubongo (mindset)

Umaskini ni ngozi

Umaskini ni vinasaba (genes)

Umaskini ni harufu

Umaskini upo ndani ya watu maskini
 

Inaweza kuwa JV, rebranding na makolo kolo mengine yote:

 
Tenda haigawiwi Bali unaomba na Ukiwa na vigezo unapata.

Hata hivyo Kwa Sasa Serikali inachwza fair play Kwa sababu Huwa Kuna Tenda ziko restricted Kwa wakandarasi wa ndani ya Mkoa husika au Wakandarasi wadogo Ili kuleta fairness
wewe naye ni wale wale huna lolote
 
Kwani Kuna shida gani kama Abdul Construction itakuwepo na inafuata taratibu zote za ukandarasi?!
Watanzania tuache utoto utoto na tujue hatuwezi piga hatua kwa kupiga mdomo tu!
Uko sahihi, lakini uzoefu unaonyesha hiyo Nia njema huishia kwa makampuni ya matapeli wasio na uwezo, na makampuni hayo huwa na uhusiano wa Moja kwa Moja na viongozi, kiasi kuwa ngumu kuwawajibisha pindi wanapoharibu kazi.
 
Hakuna tatizo, lakini wengi wenye vyeo huwa hawajotokezi kwa majina Yao, lakini unakuta ni wamiliki wa hayo makampuni. Na mara zote hayo makampuni Yao yanapoharibu kazi wanatumia vyeo vyao nyuma ya pazia kutetea hasara waliyoleta kwa umma. Huu Uzi ni wa angalizo maana haya mambo yanafahamika. Hivyo usiwe mkali bila kuangalia tafadhari aliyoleta mtoa Uzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…