Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Mhh Sjawahi hata kusikia au kumsema mtu vibaya baada ya maongezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah kuna vitu vinaumiza sanaBinadamu tunacheka nao ila nyuma ya pazia ni zaidi ya manyamera! Kuna siku nilikua naongea na bro wangu kabisa nimeweka simu loud speaker!!
Simu Iko mezani Mimi Kuna kazi napiga baada ya maongezi akasahau kukata nikaskia anaongea na watu pembeni kwa kunisema vibaya nikarekodi
Kwamba Mimi ni mchawi sina maana yoyote anajuta kuzaliwa na Mimi na maneno machafu kisa tu nilitoka kununua pikipiki mpya siku Moja kabla
Nilichokifanya nikamtumia ile voice what's app
Tunaenda mwaka wa sita huu hatuongei
Ninamchukia mpaka kufa nikimuona najisikia vibaya sana na ni tumbo Moja, mpaka Kuna siku nikamuuliza mama isijekua alibadilishiwa mtoto hospitalAisee huyo bro yako Ni snitch kinoma noma
Umechagua upande mzuri, unajiepusha na mengi.Sipendagi kujua mambo mengi behind me. Nyakati zote najaribu ku avoid kujua na sitaki. Hata simu ya mke wangu ikiwa wazi hapo sishiki. Sitaki kujua chochote nje mazungumzo official.
Nashukuru mnaotoa ushahidi mko wengi hapa,haya mambo yapo sanaBinadamu tunacheka nao ila nyuma ya pazia ni zaidi ya manyamera! Kuna siku nilikua naongea na bro wangu kabisa nimeweka simu loud speaker!!
Simu Iko mezani Mimi Kuna kazi napiga baada ya maongezi akasahau kukata nikaskia anaongea na watu pembeni kwa kunisema vibaya nikarekodi
Kwamba Mimi ni mchawi sina maana yoyote anajuta kuzaliwa na Mimi na maneno machafu kisa tu nilitoka kununua pikipiki mpya siku Moja kabla
Nilichokifanya nikamtumia ile voice what's app
Tunaenda mwaka wa sita huu hatuongei
Sasa si bora usikie, ili ujue uende nae vipi.Umechagua upande mzuri, unajiepusha na mengi.
Imagine mtu unamuheshimu sana.. afu usikie anakuongelea vibaya. Inakata
Utajikuta umebaki peke yako kwenye circle yako..Sasa si bora usikie, ili ujue uende nae vipi.
Hata mimi ningekufukuza, kuna muda lazima mukubali ukweli, kazi muhimu, kama unazijali hizo swala zako kaombe kazi msikitini.Kuna ishu ya kazi niliunganishwa kipindi fulani,nikafanyiwa interview kwenye simu,,,sasa inaelekea wale jamaa ni wapigaji katika hiyo kampuni
Nikaulizwa kazi yako ya mwisho kwanini uliiacha,,,nikasema niliacha kwakuwa niliambiwa nichague kazi au kuswali,,,yan muajiri wangu hakutaka mimi niswali nikamwambia kuswali kwangu ni muhimu sana,,ndo akaniambia chagua moja ima kazi au swala,,nikamwambia nachagua kuswali basi tukamalizana mda ule ule
So inaelekea jamaa wakaona huyu sio mtu wa dili hatufai nikasikia akisema mbele ya wenzake "hatufai huyu" na ni kweli sikutafutwa tena
Chief huenda hujui rehma ya Mwenyezi Mungu ilivyo juu ya waja wake wanaomwaminiHata mimi ningekufukuza, kuna muda lazima mukubali ukweli, kazi muhimu, kama unazijali hizo swala zako kaombe kazi msikitini.
Watu wa aina yenu ndio hufa masikini na kumsingizia Mungu eti kupata majaliwa sijui..
Nimeipenda hiiNilikua naongea na mama, sasa tumesogoa wee, ile tumeagana ckukata cm nkaweka pembeni coz kuna kitu nlikua nafanya, namsikia mama anasema
"ila huyu kichaa nisingemzaa ningekufa na kansa ya kizazi sio kwa usumbufu huu." Nilicheka kwa sauti, mama akashtukaa. Tukalianzisha tena kusogoaa. Yaan ilikua balaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora iwe hivyo.Utajikuta umebaki peke yako kwenye circle yako..
Hatari [emoji23][emoji23][emoji23]Nimeipenda hii
Pole sana chief,,,naweza hisi vile unavyofeel,,,ila hakuna kitu kizuri kama kuunganisha unduguNinamchukia mpaka kufa nikimuona najisikia vibaya sana na ni tumbo Moja, mpaka Kuna siku nikamuuliza mama isijekua alibadilishiwa mtoto hospital
Nakuunga mkono mia kwa miaHii technique Haina tofauti na ku- install mobile tracker Kwenye simu ya mtu ili uwe unafuatilia Nyendo zake.
Ukifanya hivi utatengeneza uadui na watu wengi Sana Ni Bora kuacha tu.
Wifi hapendi ujinga kbsYuko mmoja amemaliza kuongea na wifi yake kumbe simu hajakata na wifi bado anasikiliza.
Kamsema wifi yake Ni mwizi na mwenye tamaa.
Baadaye wifi akamrukia msemaji hewani.
Umetisha sana chiefHuyu Malaya bia mbili tu kaniganda hv nikimnunulia na msosi si ndio atataka ndoa kabisa