kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Mungu anisamehe kumsamehe kwa kweli na awafiche maadui zangu nisiwajue waendelee kunichekea ki snitch niziepuke stressPole sana chief,,,naweza hisi vile unavyofeel,,,ila hakuna kitu kizuri kama kuunganisha undugu
Najua ni ngumu lakini msamehe tu kwa ajili ya kupata radhi za Mwenyezi Mungu
Huyo mwamba nimemkubali hana mambo mengi,,akapotezea tuKidogo nipoteze mteja muhimu sana kwenye biashara
Nilimponda mbele ya vijana wa kazi kumbe hajakata simu
Baadaye akanipigia akaniambia yote aliyosikia nikimsema
Tulimaliza kiume ila sikumwomba msamaha na biashara kati yetu ikaendelea
πππ kaumia mtu hapoUyu falaa angejua natumia doz huu mwaka watatu........
Dj waleteeeeerrrrr
[emoji16][emoji16]Hata mimi ningekufukuza, kuna muda lazima mukubali ukweli, kazi muhimu, kama unazijali hizo swala zako kaombe kazi msikitini.
Watu wa aina yenu ndio hufa masikini na kumsingizia Mungu eti kupata majaliwa sijui..