FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Sasa ndio nikauliza, kwanini ughafirike kwa mwenzako amabe hajafunga kula mchana wakati kufunga kwako ni imani yako, yaaani why uone wivu kiasi ufungie migahawa? Kwanini usishike imani yako na kuendelea na funga yako? AnywayNenda kajifunze maana ya maneno kwanza. Wivu siyo husda.
Na wewe unae kula unatakiwa uheshimu jambo la mwenzako. Hapa kuna vitu mnachanganya na mnakuja kuongelea mambo kihisia.
Mathalani nchi kama Zanzibar ni sahihi kufanya maamuzi yale sababu wao kule zaidi ya asilimia 80 ni Waislamu hata huku Bara pia. Ustaarabu ni wewe kuheshimu imani ya mwenzako hasa ukijua. Kwanini ule mbele ya mwenzako na unajua amefunga ?
Kwa sisi ambao usiku hatuki wala hatunywi, bali tunalala tu hadi asubuhi ndio tunakunywa chai, tunakuwa tumefunga?