JF, kuwanzishwa na asiyekua Muislamu, hakufanyi eti Ikiletwa mada ya kuwashambulia basi Waislamu wasijibu sababu, mmiliki wa mtandao ni imani inayoshambuli.
Jua ukimtukana mzazi wa mwenzio na akiamua kujibu atakutukania Wazazi wako.
Hivyo wewe, ungekua na busara ungemueleza mwenzio kuwa Uwe Muisla uwe mkristo, maisha ni yale yale wewe unafunga kiukweli na yule anaefunga kiungo hakuna tofuti Duniani mpaka kwa Mungu kama ipo tofauti ndipo itakapoonekana.
Ila kwa sababu umeshindwa kumweleza hayo, Basi Muislamu akiusema ukristo vibaya ni kwa wote bila kujali anamiliki forams hii au la.