Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Usiwafanye watu wote wapuuzi mkuu.

Mimi na umri wangu huu nishindwe kuelewa maana ya direct na indirect ?

Unachomaanisha wenye akili tushakuelewa ma aamae.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Sasa wewe umefunga na unatamka matusi namna hii. Nimegundua funga yenu ni batili, ni kutekeleza amri bila kuwa na dhamira ya kumpendeza Mungu. Nimekuleteeni somo zuri la kuwasaidia kupata funga itakayoleta unyenyekevu, hekima na badiliko la moyo, tabia na maneno.
 
Sasa ndio nikauliza, kwanini ughafirike kwa mwenzako amabe hajafunga kula mchana wakati kufunga kwako ni imani yako, yaaani why uone wivu kiasi ufungie migahawa? Kwanini usishike imani yako na kuendelea na funga yako? Anyway
Jitahidi ujue maana ya maneno kisha ndiyo uyatumie. Tamko "ughafirike" lenye maana ya "kupitiwa au kusahau" imekuwaje umelitumia sehemu hiyo ?

Suala la wivu mpaka muda huu sijaona liko wapi ukizingatia hata maana yake huijui.
Kwa sisi ambao usiku hatuki wala hatunywi, bali tunalala tu hadi asubuhi ndio tunakunywa chai, tunakuwa tumefunga?
Kwa mujibu wa Uislamu hujafunga.
 
Salamu kwenu

Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.

Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.

Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.

Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Ni kubadarj ratiba ya mlo na msimu wa ulaji wa nguvu
 
Salamu kwenu

Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.

Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.

Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.

Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Hio imetaka kumuua mzee wangu after 3 days sukari ilikata ghafla!

Staki kabisa kusikia hio habari, alikuwa anataka akate wese mwilini apungue kilo ila hapana.
 
Pole sana shosti acha kuwa omba omba,tumeshtukia mbinu zako
Kumbe ndo ujanja wako unaotumiaga kuomba pedi kuzuia hiyo midamu michafu inayikumwagika kila mwezi.

Nakuonea huruma binti,wewe sio wa kuomba pedi kila mwezi.

Tangia yule shababi wa kiislamu akupige chini umepoteza kabisa direction.

Hivi ile mimba alokupiga akaikataa na kuamua kukukimbia uliitoa au uliamua kuzaa?
 
Hatari hio inawapelekesha mno wanaofunga aina hio. Maji pekee ni mateso sana
Hio imetaka kumuua mzee wangu after 3 days sukari ilikata ghafla!

Staki kabisa kusikia hio habari, alikuwa anataka akate wese mwilini apungue kilo ila hapana.
 
Umekurupuka sana wapi imetajwa dini yako mbona mnawashwa washwa hivyo yaani ni kama vile mnamiliki hati miliki zoooteee za neno kufunga na kula jioni

Mnaita watu makafiri ila mali zao mnatumia si unafiki huo

Wewe ungekua na busara ungemuelewa mleta mada anamaanisha nini na kumuuliza zaidi maana ya funga anayoisemea
JF, kuwanzishwa na asiyekua Muislamu, hakufanyi eti Ikiletwa mada ya kuwashambulia basi Waislamu wasijibu sababu, mmiliki wa mtandao ni imani inayoshambuli.

Jua ukimtukana mzazi wa mwenzio na akiamua kujibu atakutukania Wazazi wako.
Hivyo wewe, ungekua na busara ungemueleza mwenzio kuwa Uwe Muisla uwe mkristo, maisha ni yale yale wewe unafunga kiukweli na yule anaefunga kiungo hakuna tofuti Duniani mpaka kwa Mungu kama ipo tofauti ndipo itakapoonekana.

Ila kwa sababu umeshindwa kumweleza hayo, Basi Muislamu akiusema ukristo vibaya ni kwa wote bila kujali anamiliki forams hii au la.
 
Sasa wewe umefunga na unatamka matusi namna hii. Nimegundua funga yenu ni batili, ni kutekeleza amri bila kuwa na dhamira ya kumpendeza Mungu. Nimekuleteeni somo zuri la kuwasaidia kupata funga itakayoleta unyenyekevu, hekima na badiliko la moyo, tabia na maneno.
Huwezi kuwaletea watu somo la dini yao wakati wewe si katika wao. Hebu tuache kidogo.
 
Clearly ni sababu wameingiliwa makubaliano na maamuzi yao.
Wakina nani wameingiliwa; na wameingiliwa kivipi?. Kwamba anaefunga usiku ana tofauti gani na hawa wanaofunga mchana kiasi wanaoiga piga kelele kuhusu kufunga kwako tofauti na wanaofunga usiku ambao hawapigipigu kelele juu ya kufunga kwao?
 
Jitahidi ujue maana ya maneno kisha ndiyo uyatumie. Tamko "ughafirike" lenye maana ya "kupitiwa au kusahau" imekuwaje umelitumia sehemu hiyo ?

Suala la wivu mpaka muda huu sijaona liko wapi ukizingatia hata maana yake huijui.

Kwa mujibu wa Uislamu hujafunga.
Kuna tofauti gani sasa ya kimsingi kati ya mnaofumga mchana na wanaofunga usiku kiasi wanaofunga mchana wanapiga piga kelele sana kuhusu kufunga kwao tofauti na wanaofunga usiku ambao hawapigi pigi kelele juu ya kufunga kwao?
 
Vipi kwa sisi tunaofunga kula, kunywa, kuvuta na kufanya ngono kuanzia jua linapozama hadi linapochomoza, na sisi tumefunga au tunaiita vipi?
Kufunga hata ukilala usiku ni kufunga tu ndio maana chakula cha asubuhi kinaitwa Break Fast yaani futari kwa Kienyeji.
 
Kuna tofauti gani sasa ya kimsingi kati ya mnaofumga mchana na wanaofunga usiku kiasi wanaofunga mchana wanapiga piga kelele sana kuhusu kufunga kwao tofauti na wanaofunga usiku ambao hawapigi pigi kelele juu ya kufunga kwao?
Eti wanaofunga usiku!

Hivi nyie makafiri akili zenu ziko matakoni au?

Mana ujinga mnaoandika humu hata nguruwe hawezi kuandika.
 
Kufunga wafunge waislam ila unateseka wewe dini isiyokuhusu Kwaresma zinapita Bila kufunguliwa thread ila ikifika Ramadhan tu wanaanza kuwashwa ni vithread uchwara
 
Pole sana shosti acha kuwa omba omba,tumeshtukia mbinu zako
Umeamka asubuhi asubuhi ujakosha hata sehemu zako za siri chafu unadandia wanaume.

Binti kwa tabia hizo utaishia kuchezewa mpaka siku ya kufa kwako.
 
Back
Top Bottom