Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Salamu kwenu

Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.

Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.

Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.

Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Jambo Kama Hulielewi Omba Ueleweshwe.
 
Salamu kwenu

Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.

Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.

Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.

Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
yaani siyo kula tu majamaa yanakula mpaka yananyoosha miguu na usiku kuna kitu inaitwa daku
 
Salamu kwenu

Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.

Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.

Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.

Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Wakifunga waislam tabu kweli walivyoanza wengine kwaresma nyuzi kama hizi hazikuepo
 
Salamu kwenu

Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.

Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.

Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.

Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Umepiga kwenye mshono
 
Shekh, ukila huwezi kujizuia kufanya maovu.
Mtu anatakiwa kuacha maovu nyakati zote hili lipo wazi.

Lakini katika kufunga mtu anajizuia kufanya hata yale ambayo ni halali kuyafanya katika nyakati zingine.

Mfano kula, kunywa,kufanya tendo la ndoa n.k, haya mambo ni halali lakini mtu anajizuia kuyafanya akiwa amefunga, na hiyo ndio funga.

Hivyo kama mtu anajizuia kuyafanya yale ambayo ni halali kwake katika funga, hivyo kujizuia na maovu ni bora zaidi.

Na kama aliweza kufanya hivyo ndani ya mwezi mzima basi anatakiwa kuendelea hivyo hata baada ya Ramadhani.

Na hapo ndio linapatikana lengo la funga ambalo ni kuwa mchamungu.

Hivyo inaposemwa katika kufunga kuna kujizuia na maovu, haina maana inaruhusiwa katika nyakati zingine kafanya maovu.

edwayne
Emmanuel Robinson
 
Vipi kwa ambao muda wa usiku hawali wala hawanywi bali wanalala tu hadi asubuhi ndio wanakunywa chai, na hao wamefunga?
Wenyewe Wakisema wamefunga kwa mujibu wao hatuwakatalii.

Na wenyewe wakisema hawajafunga kwa mujibu wao hatuwakatalii pia.

Kila watu wqna maana yao ya kufunga(kujizuia).
 
Salamu kwenu

Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.

Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.

Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.

Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Unakula jioni na asubuhi unakula daku...
 
Kwanini ule mbele ya mwenzako na unajua amefunga ?
Hii mimi napinga mzee.

Kula ni kitendo cha halali katika dini na kufunga kitendo cha ibada pia.

Ibada yako haiharamishi halali ya mtu mwingine.

Kufunga kwqko hakuharamishi watu wengine kula ukiwa unawaona ikiwa tu watu hao hawalazimiki kufunga.

Kuna waislamu hufunga sunna za j3 na alhamisi mbona wanaishi na watu wanaokula mchana siku hizo ?
Mathalani nchi kama Zanzibar ni sahihi kufanya maamuzi yale sababu wao kule zaidi ya asilimia 80 ni Waislamu hata huku Bara pia.
Kama zanzibar waislamu ni wengi basi hakuna haja ya kuweka hizo sheria kwa sababu hata usipozuia watu kula wwlaji watakuwa ni wachache na hadhi ya mwezi utabaki pale pale,na watu watajua kwwmba ni ramadhani kwa sababu harakati za watu kula zimepungua.

Sasa Nchi walaji wa mchana ni 2% kuna haja gani ya kuzia wakati hawaathiri chochote katika taswira ya jamii mwezi wa ramadhani ?

Kama ingekuwa hilo jambo linamata basi wangezuia nchi kama tanganyika kwa sababu tanganyika ni fifte fifte so ukizuwia watu kula unaona hasa kweli watu hawali,lakini ndio haimati kuzuia watu kula mchana.
 
Wenyewe Wakisema wamefunga kwa mujibu wao hatuwakatalii.

Na wenyewe wakisema hawajafunga kwa mujibu wao hatuwakatalii pia.

Kila watu wqna maana yao ya kufunga(kujizuia).
Ni kwanini wanaofunga mchana wanapigapiga sana kelele kuhusu kufunga kwao tofauti na wale wanaofunga usiku?
 
Hii mimi napinga mzee.

Kula ni kitendo cha halali katika dini na kufunga kitendo cha ibada pia.

Ibada yako haiharamishi halali ya mtu mwingine.

Kufunga kwqko hakuharamishi watu wengine kula ukiwa unawaona ikiwa tu watu hao hawalazimiki kufunga.

Kuna waislamu hufunga sunna za j3 na alhamisi mbona wanaishi na watu wanaokula mchana siku hizo ?

Kama zanzibar waislamu ni wengi basi hakuna haja ya kuweka hizo sheria kwa sababu hata usipozuia watu kula wwlaji watakuwa ni wachache na hadhi ya mwezi utabaki pale pale,na watu watajua kwwmba ni ramadhani kwa sababu harakati za watu kula zimepungua.

Sasa Nchi walaji wa mchana ni 2% kuna haja gani ya kuzia wakati hawaathiri chochote katika taswira ya jamii mwezi wa ramadhani ?

Kama ingekuwa hilo jambo linamata basi wangezuia nchi kama tanganyika kwa sababu tanganyika ni fifte fifte so ukizuwia watu kula unaona hasa kweli watu hawali,lakini ndio haimati kuzuia watu kula mchana.
Poa.
 
Shosti ungekua hauna ujauzito ungeenda kula tu hakuna funga hapo
Umeamka asubuhi asubuhi ujakosha hata sehemu zako za siri chafu unadandia wanaume.

Binti kwa tabia hizo utaishia kuchezewa mpaka siku ya kufa kwako.
 
Wewe unaabudu mungu mwenye nafsi 3, unaomba kwa jina la Yesu, na unaamini mungu wako kakuumba kwa mfano wake.

Wao wanaamini Mungu wao ni mmoja tu hajazaa wala hajazaliwa na hakuna anae fanana nae hata mmoja, na kwamba wao wanaomba kwa jina la Mungu wao tu.

Je unafikiri wewe na wao mnaabudu kitu kimoja? Jibu ni hapana wala hamuabudu kitu kimoja, hivyo wewe fanya ibada kwa imani yako na wao wafanye ibada kwa imani yao.
Na wengine wanaomba mpaka kwa Maria sio Yesu tu.
 
Leo akija mtu na kukwambia amepata maono kwamba uhuru wa Tanganyika ulikuwa June 5 mwaka 1957 na kwamba raisi wa kwanza wa Tanganyika alikuwa Rashidi Kawawa utakubali?

Hii ni exactly alichofanya Muhammad, zaidi miaka 600 baada ya Yesu yeye akaja na kuleta habari aliyoiita mpya (ingawa alisoma maandiko ambayo tayari yalikuwepo) na akaanzisha dini halafu kuna watu mpaka leo wanaamini stori yake kuliko yale maandiko ya wanafunzi wa Yesu waliokuwa mashahidi ya yote yaliyotokea.

Ni risk kubwa sana kuamini mtu mmoja against mamia ya mashahidi.
Unajua kwa nini Mungu alimfanya mtume hajui kuandika wala kusoma kilichoandikwa?
Kuku outsmart na utopolo wako huu ulio uandika.
 
Eti huyu utakuta anaitwa 'baba mchungaji' na Wafuasi wake!
 
Back
Top Bottom