Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Kufunga hata ukilala usiku ni kufunga tu ndio maana chakula cha asubuhi kinaitwa Break Fast yaani futari kwa Kienyeji.
Nini tofauti ya wanaofunga mchana na wanaofunga usiku kiasi hawa wa mchana wanaoigapiga kelele sana kuhusu kufunga kwao tofauti na hawa wa usiku?
 
Eti wanaofunga usiku!

Hivi nyie makafiri akili zenu ziko matakoni au?

Mana ujinga mnaoandika humu hata nguruwe hawezi kuandika.
Jibu hoja, unapaniki nini sasa? Kwanini wanaofunga mchana wanapigapiga kelele sana tofauti na wanaofunga usiku?
 
Moja ni Imani na nyingine ni Nature.
Hakuna asiyejua hilo, ila kimsingi wote wnaacha kula na kunywa kwa wakati maalum, kisha wote hufungulia either kwa futari au kifungua kinywa (chai), sasa iweje wanaofunga mchana wanaoigapiga sana kelele kuhusu kufunga kwako tofauti na wale wanaofunga usiku?
 
Mtu anakula saa kuminamoja, saamoja na saasita tumbo kubwaaa eti amefunga au amebadili usiku kuwa mchana🤣🤣🤣😀😀
 
Humu kuna wajinga wengi sana huwa nawapuuzia sana hasa Wasio Waislamu hutubeza ya kuwa tunabadilisha muda wa kula.

Sasa nakuuliza maana ya kufunga ni kujizuia kula pekee ? Huu ujinga amewaambia nani ?

Kwetu sisi Waislamu kufunga ni kujizuia kula, kufanya uovu, batili kuanzia alfajiri ya kweli mpaka jua linapo zama. Hii ndiyo maana ya funga kwetu sisi Waislamu.

Sasa unapotushangaa sisi na sisi tunakushangaa wewe kuhusu maana yako batili ya kufunga.
Munajizuia nini??!! Wakati mijitu kibao inatombana tena muslims kabisaa tembea uone
 
Hii funga ya Kiimani inaambatana na Swala Dua na Tahajudi na kelele nyingine za kiibada.
Hata wanaofunga usiku, wanaswali kabla ya kulala , na wanapoamka kabla ya kufungua kinywa wanaswali pia, tena wanafunga hata kutenda uovu maana wanakuwa usingizini wamelala; sasa nini tofauti hadi hawa wa mchana wanaoigapiga kelele kuhusu kufunga kwao, kiasi hadi wanafungia watu migahawa?

Hii tabia ya kuugeuza usiku kuwa mchana ni mbaya kiafya, maana usiku mtu hupaswi kula uvimbiwe, maana uanenda kulala, tuwekane sawa kati hili, kiafya.
 
Salamu kwenu

Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.

Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.

Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.

Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Hawa ni wasanii tu, hawafungi ila wanabadilisha tu muda wa kula.
 
Dini ni ugonjwa mbaya sana wa akili ulioikumba dunia.

Ujinga + dini ni janga kwa maendeleo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Serikali imeingilia kati sio sisi waumini.
Hiyo serikali inaongozwa na waumini husika hivyo waliofanya hivyo ni waumini walio madarakani.

Eitherway, kwanini wanaofunga mchana wanapigapiga sana kelele kuliko wanaofunga usiku, ukizingatia wote huswali katika funga hizo..
 
Sasa wewe umefunga na unatamka matusi namna hii. Nimegundua funga yenu ni batili, ni kutekeleza amri bila kuwa na dhamira ya kumpendeza Mungu. Nimekuleteeni somo zuri la kuwasaidia kupata funga itakayoleta unyenyekevu, hekima na badiliko la moyo, tabia na maneno.
Ndy vizuri ili uzi ufungwe.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
MTAENDELEA KUBISHANA LAKINI TAMBUENI KWAMBA HAKUNA MSHINDI ATAKAYAEPATIKANA

Nilifunzwa huko nyuma, nikafanya utafiti kidogo, nikajiridhisha na hatimaye nikajiwekea kanuni kwamba nitajiweka mbali na mijadala yote yenye mwelekeo wa ushabiki wa kiimani kama dini, kwasababu masuala haya yanahusisha hisia zaidi na si mantiki, hivyo nikajiwekea kanuni zaidi kwamba kama inabidi nishiriki kwenye mjadala unaohusisha ushabiki wa kiimani, basi ni lazima nijue lengo la washiriki wa huo mjadala ni nini, na ikiwezekana niwafahamu wao ni akina nani, na hata uwezo na upeo wao ili nichague maneno na lugha ifaayo kwao.

Kwenye masuala haya ya kiimani za dini, nimegundua kuna mijadala ya aina mbili, kuna ile yenye lengo la kuelimisha kwa dhati kabisa na kujikita kwenye hoja, ambayo kwa kawaida huhusisha mantiki (Mfano nini maana ya Kwaresima? Nini maana ya Mwezi wa Ramadhani? Nini maana ya kufunga, n,k. ,


Pili, ni ile mijadala inayohusisha ushabiki na mihemko zaidi, yenye hisia zaidi badala ya mantiki, ambayo hailengi kutoa elimu, bali ni kuonesha kejeli na kwamba 'imani yangu' ndiyo imani bora kuliko yako, kwamba 'mimi niko sahihi' kuliko wewe, inalenga zaidi kutafuta ushindi zaidi na sio kuelimisha, inakwepa hoja ya msingi badala yake inajikita kwenye mashambulizi binafsi.

Kwa maoni yangu mjadala uliopo hapa jamvini una mwelekeo wa kishabiki zaidi, wenye mihemko, haulengi kutoa elimu, una kejeli imani fulani dhidi ya nyingine, kila mmoja anatumia nguvu nyingi kutaka kuonesha kwamba imani yake ni bora kuliko ya mwingine na matokeo yake hisia hutawala na wengi hukereka, baadhi wameanza kushambulia watu binafsi na kujiweka mbali na hoja ya msingi, lakini pia siwafahamu washiriki wa mjadala huu wala uwezo na upeo wao. Kwa mtindo huu tambueni kwamba hakuna mshindi atakayepatikana.

JADALA HUU NA YA AINA KAMA HII HAINA TIJA, HUUMIZA ZAIDI BADALA YA KUPONYA
 
Sasa hivi ni kwaresma, rc, anglican, moravian, na lutheran wanafanya kama waislamu na sijaona hata mmoja akija hapa kulalamika isipokuwa waislamu. Why?
Kati ya hao wote uliowataja funga zao ni kujizuia Kula na kushiba.
Eti ukifunga unaweza ukanywa maji kidogo au chakula kiasi,
Mradi usile ukashiba..

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Salamu kwenu

Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.

Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.

Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.

Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
huwa hawafungi wanarudishia tu
 
Back
Top Bottom