Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Mkuu wewe ni mchokozi, kwanini usiache watu wafanye kile wanachoamini na wewe ufanye unachoamini? Pia kumbuka kuwa kufunga kuko kwa aina nyingi.
Mkuu hili ni swali na sioni kama ni uchokozi. Simzuii mtu kufanya anachokiamini.
 
Humu kuna wajinga wengi sana huwa nawapuuzia sana hasa Wasio Waislamu hutubeza ya kuwa tunabadilisha muda wa kula.

Sasa nakuuliza maana ya kufunga ni kujizuia kula pekee ? Huu ujinga amewaambia nani ?

Kwetu sisi Waislamu kufunga ni kujizuia kula, kufanya uovu, batili kuanzia alfajiri ya kweli mpaka jua linapo zama. Hii ndiyo maana ya funga kwetu sisi Waislamu.

Sasa unapotushangaa sisi na sisi tunakushangaa wewe kuhusu maana yako batilo ya kufunga.
Shekh, ukila huwezi kujizuia kufanya maovu.
 
Funga ina tafsiiri nyingi sana.

Katika kiarabu neno funga lina maana ya KUJIZUIA.

Sasa mtu anaweza akaseema mimi najizuia kula ugali mwezi mzima ila vyakula vingine anakula na akasema amefunga bado yupo sahihi kwa sababu anaingia katika tafsiri ya funga yenye maana ya kujizuia.

Sasa unajjizuia na nini ? Hapo inabaki tafsiri ya mtu husika

Tafsiri yetu sisi waislamu ya kufunga ni kujizuia kula na kunywa na kuingilia kimwili wakati wa mchana,sijui watu munababaika wapi.

Hata wewe mtoa mada unaweza ukaanzisha dini yako ukasema dini yetu kila januari tutajizuia kuingia jamii forum hiyo ndio itakuwa funga yetu kwenye dini hiyo.

Utakuwa upo sahihi kwa mtazamo wako na wala hakuna atakayekupinga kwa sababu neno funga au kujizuia ni pana.

Na kwamba unafunga au kujizuia na nini hapo ndio wataachiwa wahusika wa jambo husika watoe tafsiri yao.

Kwa hivyo mtoa mada ndugu yangu hiyo ndio tafsiri yetu sisi ya maana ya funga.

Usitake kuturekebisha kwamba tutumie jina lingine wakati hakuna pahala tumekubaliana kwwmba kufunga maana yake ni kadhaa wa kadhaa..
Mkuu hakuna wasichoelewa hao jamaa...
Hapa linatengenezwa daraja tu la watu kutema kebehi na chuki zao!.
Na hii imekuwa ni desturi kila ifikipo kipindi cha mwezi mtukufu mijadala ya namna hii kujirudia.
Hapa utamaliza maarifa yako yote kuelezea jambo hili kwa lugha rahisi kabisa ya kueleweka lakini utaishia kujibiwa kwa kejeli tu.
Hata hii post yako angalia huyo mleta mada alichokujibu hapo juu.
 
Salamu kwenu

Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.

Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.

Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.

Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Eti uponyaji na uzima..wizi mtupu!!
 
Salamu kwenu

Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.

Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.

Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.

Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Yani mafarisayo mbona mnateseka ivi
Insigne njoo uone farisayo huyu

wakristo bhna zimepita siku za kwaresma hamna ata thread moja humu jukwaani ila Mfungo tu ulipoanza kila siku kashfa

Sasa ww unojidai unafunga siku 7 badi usinywe hata na hayo maji hlf tujue kweli kua umefunga

Uislamu ni dini nyepesi mno haipo kumsumbua mtu

Punguza chuki kijana
 
Mk
Yani mafarisayo mbona mnateseka ivi
Insigne njoo uone farisayo huyu

wakristo bhna zimepita siku za kwaresma hamna ata thread moja humu jukwaani ila Mfungo tu ulipoanza kila siku kashfa

Sasa ww unojidai unafunga siku 7 badi usinywe hata na hayo maji hlf tujue kweli kua umefunga

Uislamu ni dini nyepesi mno haipo kumsumbua mtu

Punguza chuki kijana
Boss hili swali lilikuwa kwa watu wote, halikulenga dini yoyote.
 
20220405_193234.jpg
 
Mkuu hakuna wasichoelewa hao jamaa...
Hapa linatengenezwa daraja tu la watu kutema kebehi na chuki zao!.
Na hii imekuwa ni desturi kila ifikipo kipindi cha mwezi mtukufu mijadala ya namna hii kujirudia.
Hapa utamaliza maarifa yako yote kuelezea jambo hili kwa lugha rahisi kabisa ya kueleweka lakini utaishia kujibiwa kwa kejeli tu.
Hata hii post yako angalia huyo mleta mada alichokujibu hapo juu.
Mkuu hili swali lilikuwa kwa watu wote halikulenga waislamu.
 
Yani mafarisayo mbona mnateseka ivi
Insigne njoo uone farisayo huyu

wakristo bhna zimepita siku za kwaresma hamna ata thread moja humu jukwaani ila Mfungo tu ulipoanza kila siku kashfa

Sasa ww unojidai unafunga siku 7 badi usinywe hata na hayo maji hlf tujue kweli kua umefunga

Uislamu ni dini nyepesi mno haipo kumsumbua mtu

Punguza chuki kijana
Huyu ni mkardayo mkuu wala usipate shida sana
 
Back
Top Bottom