Uponyaji na uzima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 666
- 1,255
- Thread starter
- #21
Tafsiri hii inaonesha ni protokali tu na sio badiliko.Kufunga kula kunywa kuvuta kufanya ngono kuanzia jua linapochomoza hadi linapozama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafsiri hii inaonesha ni protokali tu na sio badiliko.Kufunga kula kunywa kuvuta kufanya ngono kuanzia jua linapochomoza hadi linapozama.
Mkuu hili ni swali na sioni kama ni uchokozi. Simzuii mtu kufanya anachokiamini.Mkuu wewe ni mchokozi, kwanini usiache watu wafanye kile wanachoamini na wewe ufanye unachoamini? Pia kumbuka kuwa kufunga kuko kwa aina nyingi.
Aisee.. kweli vilaza mpo wengi.Nchi Ina vilaza sana kama mtoa uzi
Kama wewe unajua siku inaanza saa ngapi na kumalizka saa ngapo kwa imani ya mizimu yakoAisee.. kweli vilaza mpo wengi.
Shekh, ukila huwezi kujizuia kufanya maovu.Humu kuna wajinga wengi sana huwa nawapuuzia sana hasa Wasio Waislamu hutubeza ya kuwa tunabadilisha muda wa kula.
Sasa nakuuliza maana ya kufunga ni kujizuia kula pekee ? Huu ujinga amewaambia nani ?
Kwetu sisi Waislamu kufunga ni kujizuia kula, kufanya uovu, batili kuanzia alfajiri ya kweli mpaka jua linapo zama. Hii ndiyo maana ya funga kwetu sisi Waislamu.
Sasa unapotushangaa sisi na sisi tunakushangaa wewe kuhusu maana yako batilo ya kufunga.
"Tafsiri yetu sisi waislamu ya kufunga ni kujizuia kula na kunywa na kuingilia kimwili wakati wa mchana,sijui watu munababaika wapi."Sawa mkuu, kwahiyo mnajizuia na dhambi na chakula kwa muda kuanzia asubuhi mpaka jioni.
Siku zote na miezi yote hutakiwi kufanya maovu na unatakiwa kujizuia, ila mwezi huu ni mtukufu na ukifanya mema unalipwa zaidi na ukifanya mouvu uzito wake au ubaya wake unakuwa mkubwa zaidi.Shekh, ukila huwezi kujizuia kufanya maovu.
Mkuu hakuna wasichoelewa hao jamaa...Funga ina tafsiiri nyingi sana.
Katika kiarabu neno funga lina maana ya KUJIZUIA.
Sasa mtu anaweza akaseema mimi najizuia kula ugali mwezi mzima ila vyakula vingine anakula na akasema amefunga bado yupo sahihi kwa sababu anaingia katika tafsiri ya funga yenye maana ya kujizuia.
Sasa unajjizuia na nini ? Hapo inabaki tafsiri ya mtu husika
Tafsiri yetu sisi waislamu ya kufunga ni kujizuia kula na kunywa na kuingilia kimwili wakati wa mchana,sijui watu munababaika wapi.
Hata wewe mtoa mada unaweza ukaanzisha dini yako ukasema dini yetu kila januari tutajizuia kuingia jamii forum hiyo ndio itakuwa funga yetu kwenye dini hiyo.
Utakuwa upo sahihi kwa mtazamo wako na wala hakuna atakayekupinga kwa sababu neno funga au kujizuia ni pana.
Na kwamba unafunga au kujizuia na nini hapo ndio wataachiwa wahusika wa jambo husika watoe tafsiri yao.
Kwa hivyo mtoa mada ndugu yangu hiyo ndio tafsiri yetu sisi ya maana ya funga.
Usitake kuturekebisha kwamba tutumie jina lingine wakati hakuna pahala tumekubaliana kwwmba kufunga maana yake ni kadhaa wa kadhaa..
Eti uponyaji na uzima..wizi mtupu!!Salamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Yani mafarisayo mbona mnateseka iviSalamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Boss hili swali lilikuwa kwa watu wote, halikulenga dini yoyote.Yani mafarisayo mbona mnateseka ivi
Insigne njoo uone farisayo huyu
wakristo bhna zimepita siku za kwaresma hamna ata thread moja humu jukwaani ila Mfungo tu ulipoanza kila siku kashfa
Sasa ww unojidai unafunga siku 7 badi usinywe hata na hayo maji hlf tujue kweli kua umefunga
Uislamu ni dini nyepesi mno haipo kumsumbua mtu
Punguza chuki kijana
Hapana mkuu hamna wizi wowote.Eti uponyaji na uzima..wizi mtupu!!
Mkuu hili swali lilikuwa kwa watu wote halikulenga waislamu.Mkuu hakuna wasichoelewa hao jamaa...
Hapa linatengenezwa daraja tu la watu kutema kebehi na chuki zao!.
Na hii imekuwa ni desturi kila ifikipo kipindi cha mwezi mtukufu mijadala ya namna hii kujirudia.
Hapa utamaliza maarifa yako yote kuelezea jambo hili kwa lugha rahisi kabisa ya kueleweka lakini utaishia kujibiwa kwa kejeli tu.
Hata hii post yako angalia huyo mleta mada alichokujibu hapo juu.
Huyu ni mkardayo mkuu wala usipate shida sanaYani mafarisayo mbona mnateseka ivi
Insigne njoo uone farisayo huyu
wakristo bhna zimepita siku za kwaresma hamna ata thread moja humu jukwaani ila Mfungo tu ulipoanza kila siku kashfa
Sasa ww unojidai unafunga siku 7 badi usinywe hata na hayo maji hlf tujue kweli kua umefunga
Uislamu ni dini nyepesi mno haipo kumsumbua mtu
Punguza chuki kijana