Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Kinachokusumbua ni kuto jua maana ya Neno Imani.
IMANI: Ni tumaini, Kuamini, Utamaduni, usitegemee imani yako ifanane na ya mwingine.
Wapo wanaoamini kuwa, hakuna Mungu kwangu nawaoma wako sawa, kwa sababu zao.

Tatizo linaanza pale unapohoji imani ya mwingine, bila kujua hizo unazo ona ni dosari ndizo zilizotufanya tuwe tofauti.

Kwa mtu alie makini, atamkosoa wa imani yake ambae anaenda kinyume na miongozo yao, ukihoji imani nyingine wakati wao hawafuati miongozo yenu, kuwa hujui hata unachokiamini.
Madam hii wala haikuwa inahusu Imani yoyote. Kufunga ni suala la kiafya zaidi. Watu wanaleta mambo ya Imani na dini.
 
Totally rubbish

Huko kufunga tangu mmeanza mbona hatuona majibu ya maombi yenu?

Huyo Mungu wenu wa makanisa na misikitini mbona mgumu sana kujibu maombi ya viumbe wake[emoji23][emoji23]?

Hizo nguvu mnatumia kuabudu na kuamini upuuzi, mngeziwekeza ktk juhudi za kujenga taifa, muda huu tusingekuwa tunalalamika mafuta ya kula kupanda bei wala tatizo la ajira, maana akili zungetumika ipasavyo kuwaza mambo ya msingi.

Sehemu ya ubongo wako unayotumia kuhifadhi mambo ya kipuuzi ya kidini, ungeyatumia kuhifadhi kumbukumbu na matukio ya muhimu usingekuwa hapo[emoji23][emoji23].

Bitter truth

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna binadamu, anaeweza kuishi Siku 40, bila kula kisa eti amefunga na akawa na nguvu huku akiendelea la shuguri zake za kaida hii siyo kweli.

Ikitokea hivyo huyu mtu, kuna wakati atakua hajiwezi hata kuinuka kwenda tu kukojoa.
Mkuu hapa hauko sahihi. Namfahamu mtu aliyewahi kufunga siku 92 ingawa mimi pia niliona ni muujiza.

Ila siku 40 wapo watu wengi tu wanafunga na mara nyingi ikifika siku ya 14 hadi 28 mwili unakuwa na nguvu sana ila baada ya hapo ni lazima awe sehemu moja tu katika kile alichoamua kutekeleza.

Ila mkuu ukiweza angalau kufanya siku 21 yaani hutaamini jinsi utakavyokuwa umeanza maisha mapya. Akili inachaji, hutahitaji tena sukari wala chumvi na wala hutakuwa unakula chakula kingi na afya yako itakuwa imeimarika sana.

Angalizo: ukitaka kujaribu hii ni lazima uanze kidogo kidogo, mbili, kisha tatu, kisha saba, hapo unaweza kuanza kuunga mpaka 21.
 
Mkuu hapa hauko sahihi. Namfahamu mtu aliyewahi kufunga siku 92 ingawa mimi pia niliona ni muujiza.

Ila siku 40 wapo watu wengi tu wanafunga na mara nyingi ikifika siku ya 14 hadi 28 mwili unakuwa na nguvu sana ila baada ya hapo ni lazima awe sehemu moja tu katika kile alichoamua kutekeleza.

Ila mkuu ukiweza angalau kufanya siku 21 yaani hutaamini jinsi utakavyokuwa umeanza maisha mapya. Akili inachaji, hutahitaji tena sukari wala chumvi na wala hutakuwa unakula chakula kingi na afya yako itakuwa imeimarika sana.

Angalizo: ukitaka kujaribu hii ni lazima uanze kidogo kidogo, mbili, kisha tatu, kisha saba, hapo unaweza kuanza kuunga mpaka 21.
Siku 91, hali na anashiriki shuguri zake za kiuchumi na za kijamii vizuri tu, au anakua amelala tu. ila shuhuda wa funga ni Mungu binadamu hawezi kuwa shuhuda.
 
Back
Top Bottom