Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Salamu kwenu

Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.

Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.

Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.

Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Hili hapa ndio jibu lako.
Makafiri mnalazimisha mnachofanya nyinyi kiwe ndio kile kile awe anafanya muislam halafu kiwe ndo ibada. Sio sahihi.

Nyie mkienda kanisani mnaimba, mnasikiliza mahubiri, mnatoa sadaka na kisha kutoka na mnasema mlikua mkisali. Kwa muislam SALA ni kitendo maalum na kina utaratibu wake INDIA, CHINA, AFRICA, US, kote sala inafanana. Hili ni tofauti kwenu....wanavyosali Warumi na Lutheran na kanisa la Mwamposa ni tofauti na kila sehem wana mfululizo wa matukio yao.

Screenshot_20220405-214954~2.png
 
Nimependekeza wasitumie neo kufunga maana wanachofanya sio kufunga.
Kufunga ni nini? We uliyezaliwa miaka ya 80 unajua zaidi kuliko waliotangulia zama na zama hata utupangie jina?
Wewe unavyofaham kufunga ni nini?
 
Hili hapa ndio jibu lako.
Makafiri mnalazimisha mnachofanya nyinyi kiwe ndio kile kile awe anafanya muislam halafu kiwe ndo ibada. Sio sahihi.

Nyie mkienda kanisani mnaimba, mnasikiliza mahubiri, mnatoa sadaka na kisha kutoka na mnasema mlikua mkisali. Kwa muislam SALA ni kitendo maalum na kina utaratibu wake INDIA, CHINA, AFRICA, US, kote sala inafanana. Hili ni tofauti kwenu....wanavyosali Warumi na Lutheran na kanisa la Mwamposa ni tofauti na kila sehem wana mfululizo wa matukio yao.

View attachment 2177140
Mkuu unaweza kuonesha mahali popote dini imetajwa kwenye bandiko langu?

Hapa wewe umeleta chuki isiyohusiana kabisa na mada.
 
Unajua wewe ni mpumbavu. Wewe unaita umefunga halafu unakunywa maji kiu kinapokushika......sasa ndio umefunga kitu gani?
Jaribu kukaa siku 7 ukinywa maji lita moja kwa siku halafu ulete mrejesho.

Ni kwanini wewe ambaye hukula tangu asubuhi unatukana saa hizi?
 
U
Ss mbona kutulazimisha siku 21😅

Wkt siku moja yatosha kumkumbuka Mwenyezi?
Na ndio lengo la kufunga
Unaweza kufunga kwasababu mbalimbali ikiwepo hiyo ya kuunidhamisha mwili ili umtafute Mungu.

Funga iliyo bora kiafya ni ile ya kuanzia siku saba. Hapa usiache kunywa maji kiasi kwa siku.

Ukifanya mara moja hutakuja kuacha na pengine utafikisha hata hizo siku 21 huko mbeleni.
 
Jaribu kukaa siku 7 ukinywa maji lita moja kwa siku halafu ulete mrejesho.

Ni kwanini wewe ambaye hukula tangu asubuhi unatukana saa hizi?
Upumbavu sio tusi. Hapo ulipo una sifa ya upumbavu. Nijaribu kukaa siku 7 nakunywa tu maji namfurahisha nani?

Dini yetu haijaelekeza hivyo. Na huko si katika ibada zetu.
 
Kufunga ni nini? We uliyezaliwa miaka ya 80 unajua zaidi kuliko waliotangulia zama na zama hata utupangie jina?
Wewe unavyofaham kufunga ni nini?
Kufunga ni suala la kiafya zaidi ambapo mtu anaacha chakula ili kuupa nodhamu mwili.

Ukifunga unaufanya mwili ufanye detoxification na mara nyingi ukiumwa huwa mwili unapoteza hamu ya kula kama njia ya kwanza ya kujiponya.

Sasa pia kwenye Imani mbalimbali kuna kufunga ila ndio kiafya siku saba zinafanya cleansing ambayo hata kiibada ni bora.

Mimi hapa sishindani na imani ya mtu yoyote. Naongelea kitendo cha kufunga.
 
Mkuu unaweza kuonesha mahali popote dini imetajwa kwenye bandiko langu?

Hapa wewe umeleta chuki isiyohusiana kabisa na mada.
Kutotaja dini si sababu ya kuficha upumbavu wako. Wakati mwingine ni heri kukaa kimya kuliko kuongea na watu wakajua upumbavu wako.
Hapa hakuna mtoto mdogo eti ulichoandika hakuna atakaye ng'amua. Hiyo ni chuki ya kidini mfarisayo wewe.

Mwezi ukianza tu shari huwa mnazitafuta, nyie si mna kwaresma? Mmeona sie tumehoji ibada zenu? Lakini kila siku mara nyoko mara fyoko....sijui ratiba ya kula sijui nn? Myie kinawahusu nini?

Pilipili ya shamba yakuwashanani?

Ficha upumbavu wako
 
Upumbavu sio tusi. Hapo ulipo una sifa ya upumbavu. Nijaribu kukaa siku 7 nakunywa tu maji namfurahisha nani?

Dini yetu haijaelekeza hivyo. Na huko si katika ibada zetu.
Kwahiyo ni sahihi mimi nikitafsiri kwamba wewe ni mpumbavu?

Hata hivyo mimi sipingani na imani yako.

Ukikaa siku saba kwa kunywa maji tu utaelewa maana halisi ya kufunga.
 
Kufunga ni suala la kiafya zaidi ambapo mtu anaacha chakula ili kuupa nodhamu mwili.

Ukifunga unaufanya mwili ufanye detoxification na mara nyingi ukiumwa huwa mwili unapoteza hamu ya kula kama njia ya kwanza ya kujiponya.

Sasa pia kwenye Imani mbalimbali kuna kufunga ila ndio kiafya siku saba zinafanya cleansing ambayo hata kiibada ni bora.

Mimi hapa sishindani na imani ya mtu yoyote. Naongelea kitendo cha kufunga.
Kufunga ni suala la kidini kwa Waislam sio afya. Afya comes later. So na maelekezo ya dini yanasema wakati gani ule na wakati gani usile na kufunga huko si kuacha kula tu.....unaacha hata kumwingilia mkeo ama mwanamke kuingiliwa.
Na mtoto, mgonjwa, mwenye safari, mama mjamzito, anayenyonyesha, mwenye hedhi wana ruhusa ya kutofunga. Ni kitendo cha kiibada.

Sasa usihoji vitu vyako unavyovijua wewe katika imani za watu wengine. Hata mimi nakushangaa kwanini usile unywe maji siku 7.....ni maelekezo ya nani?
 
Kutotaja dini si sababu ya kuficha upumbavu wako. Wakati mwingine ni heri kukaa kimya kuliko kuongea na watu wakajua upumbavu wako.
Hapa hakuna mtoto mdogo eti ulichoandika hakuna atakaye ng'amua. Hiyo ni chuki ya kidini mfarisayo wewe.

Mwezi ukianza tu shari huwa mnazitafuta, nyie si mna kwaresma? Mmeona sie tumehoji ibada zenu? Lakini kila siku mara nyoko mara fyoko....sijui ratiba ya kula sijui nn? Myie kinawahusu nini?

Pilipili ya shamba yakuwashanani?

Ficha upumbavu wako
Kadri unavyoendelea kuandika unadhihirisha namna hicho mnachoita kufunga kisivyo na manufaa.

Ukifunga vizuri unakuwa mpole, mtulivu na mnyenyekevu. Hapo sasa ibada inakuwa nzuri mbele za Mungu.

Jaribu siku saba ulete mrejesho.
 
Kwahiyo ni sahihi mimi nikitafsiri kwamba wewe ni mpumbavu?

Hata hivyo mimi sipingani na imani yako.

Ukikaa siku saba kwa kunywa maji tu utaelewa maana halisi ya kufunga.
Maana ya kutoka wapi?
Hiyo ni maana ya kwako. Wewe kaa siku hata 100 bila kula na jihesabu umefunga.

Na mimi niache nifanye nijuavyo. Shida yako wewe ni nini?

Hakuna mahali tumekubaliana sisi wafungaji ama watumia neno kufunga kwamba inabidi mtu afanye hivi ndo atakuwa amefunga.
Bado narudia.....ficha upumbavu wako.
 
Mada haikuwa imetaja dini yoyote. Naona waislamu wengi mmekuwa wakali hapa ingawa hata baadhi ya madhehebu ya kikristo yapo kwaresma na hawajalalamikia mada.

Unadhani ni kwanini waislamu ndio wamekuwa wakali?
 
Maana ya kutoka wapi?
Hiyo ni maana ya kwako. Wewe kaa siku hata 100 bila kula na jihesabu umefunga.

Na mimi niache nifanye nijuavyo. Shida yako wewe ni nini?

Hakuna mahali tumekubaliana sisi wafungaji ama watumia neno kufunga kwamba inabidi mtu afanye hivi ndo atakuwa amefunga.
Bado narudia.....ficha upumbavu wako.
Mimi sina tatizo na msimamo wala imani yako. Nimezungumzia namna bora ya kufunga.
 
Back
Top Bottom