Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imenibidi niscreenshot[emoji1787][emoji1787] kuna watu wananondoKwa uzuri wako nilikuwa nalitegemea hilo[emoji257][emoji257]lakini issue sio kuwa na mtu bali kuwa na mtu sahihi.
BTW sidhan kama ni mtu wako wa kwanza hata akiwa wa kwanza huwezi kujihakikishia kwamba atakuwa wa mwisho. Naomba uwe wa mwisho kwangu nami niwe wa mwisho kwako[emoji1666][emoji1666]
Haya mambo kuna muda hayana formula, see what works best for you. Unaweza sema ujenge kwanza ukaribu ukija kutupia verse unaambiwa umechelewa nina mtu why hukuniambia mapema all these days nilikuwa single ,mie nlikuchukulia kama rafiki tu.Ni kweli ulichosema na kilamtu ana vipaumbele vyake hivo ni vema kuweka ukaribu na mtu Kam unamuhitaji Ili ujue uende vipi na akuelewe inawezekana hata wew kunavitu ulikuwa huvihitaji Kwa msichana ila Kwa haraka zako usijue ukajua mmeshaanza mahusiano Bora kuwa na urafiki at least mnaweza kufahamiana
Achana na wale wenye uzuri wa makeup hao ndio gharama Sana kuwapata na kuishi naoKuna kizuri rahisi? Au mrembo bomu?
Mzuri hujitunza na ni expensive kumpata sana
Hahahahaha bwanakaka utaniua na mbavu zanguBwana wa demu wako lazima umpende😂, hujasikia ule wimbo singeli unasisitiza tuwaheshimu madanga wa mademu zetu
Watu wanabisha hapa, lkn sishangai sababu inawezekana ktk harakati zao hawajakutana bado na Ke wa aina hiyo.Kweli kabisa kuna pisi hazibabaiki na pesa,show off za kiganga…. achana na hizi za msingi kiuno.
Ndio nishasema sasa.Acha utani na pesa,
I met this Lady once, she was not after my money at all, but she was happy that i could afford nice meal for us😊Watu wanabisha hapa, lkn sishangai sababu inawezekana ktk harakati zao hawajakutana bado na Ke wa aina hiyo.
Tuna Hela na hatuna huruma za kijinga na maushamba mwitu.Watu wengi wanadhani ukiwa na hela ndio utapata mwanamke yoyote. Hawaamini kuna wanawake hawababaiki na hela.
Wee nawe acha kubadili badili majina kaone kwanza. Bado tu kujiita MwakipopofyoTunaoa Hela na hatuna huruma za kijinga na maushamba mwitu.
Ukileta pigo za Kulia shida kama umeona Unicef hy ndio tiketi.
#Bear Gwamwana Gwa
Na badili kimkakati kama uchaguzi za Marais Tz.Wee nawe acha kubadili badili majina kaone kwanza. Bado tu kujiita Mwakipopofyo
☺️☺️ Sasa je. MsalimieI met this Lady once, she was not after my money at all, but she was happy that i could afford nice meal for us😊
Utatupenda tu utake usitake nyau wee.Na badili kimkakati kama uchaguzi za Marais Tz.
Sipendi wanyakyusa na CCM.
3x1 sio Sawa na 1x3 Meza dawa hizo. Akisogea mnyaki nakuwa nyokAUtatupenda tu utake usitake nyau wee.
Mtumie vocha ya elf kumi, baada ya week mkaribishe sehem maalum kazi kwisha.Natumai mu wazima sana,
Mabaharia nina swali lenu hapa, wewe kama mwanaume huwa una deal vipi na jibu utakalopewa na mwanamke kwamba, 'nina mtu wangu'?
Embu shusheni nondo hapo tupate somo.
😁😁 Ww unaonekana fundi wa kutongoza.Kwa uzuri wako nilikuwa nalitegemea hilo[emoji257][emoji257]lakini issue sio kuwa na mtu bali kuwa na mtu sahihi.
BTW sidhan kama ni mtu wako wa kwanza hata akiwa wa kwanza huwezi kujihakikishia kwamba atakuwa wa mwisho. Naomba uwe wa mwisho kwangu nami niwe wa mwisho kwako[emoji1666][emoji1666]