Unashughulika vipi na hili la 'nina mtu wangu'?

Unashughulika vipi na hili la 'nina mtu wangu'?

Natumai mu wazima sana,

Mabaharia nina swali lenu hapa, wewe kama mwanaume huwa una deal vipi na jibu utakalopewa na mwanamke kwamba, 'nina mtu wangu'?

Embu shusheni nondo hapo tupate somo.
Means she is open or was meant for everyone except that now that gap has been field but exceptionally if you submit a strong proposal you can overturn the winner of the first leg and advance to the next stage
 
💯🤝 uko sahihi

Ule msemo mwanamke akipenda amependa uko sahihi sana. Ila kama hakuna mwanamke aliyewahi kufall kwako hautauelewa
Niwakumbushe wanaume:
1. Sio kila mwanamke anataka pesa yako
ni akilli, uelewa na unavyomtreat.

2. Wanaume wengi hatuna uwezo wa kuwa handle wanawake...tunatanguliza pesa na vitu...hili ni kosa kwenye mapenzi bali inafanyakazi kwenye ngono tu.

3. Kuwachukulia poa wanawake hili nalo ni tatizo...sumu kubwa.

Mwanamke yeyote ukimheshimu...yeye atakufanya mfalme....kama unabisha waulize matajiri kwanini wanagongewa?

4. Ufahamu fika kuwa mwanamke ndiye kiumbe pekee mwenye shukrani kwa kiwango cha juu.
Ukimjali anaweza kuiba pesa ya mumewe akusaidie wewe utatue shida zako.
Unabisha?
Umesomaga kisa cha Abigael na Daudi?

Note: ukitaka kufaulu kupata chombo bora jifunze maarifa sahihi...acha kutongoza kabisa😂
 
Kwanini umemuuliza kama anamtu au hana we jipambanie wewe kama wewe then ye atachagua yuko single au ana mtu
Asante sanaaaaaa!.
Maana suala la sisi kuwa single au taken inategemea na ntu na ntu.
 
Kwa uzuri wako nilikuwa nalitegemea hilo[emoji257][emoji257]lakini issue sio kuwa na mtu bali kuwa na mtu sahihi.
BTW sidhan kama ni mtu wako wa kwanza hata akiwa wa kwanza huwezi kujihakikishia kwamba atakuwa wa mwisho. Naomba uwe wa mwisho kwangu nami niwe wa mwisho kwako[emoji1666][emoji1666]
Ewaaahhh mistari mitamu
 
Asante sanaaaaaa!.
Maana suala la sisi kuwa single au taken inategemea na ntu na ntu.
Hili ninalijua sana.
Huwa mkimuelewa mwanaume mnasahau kuwa mlishakuwa na mtu🤣🤣🤣
 
Kabisa na tukiamua Kunanaonkimahusiano tunapenda mazima Kuna Raha Kuwa na mahusiano kuwa na mtu ambae ni rafikikwako anakuwa anakuelewa Sana uwe na gubu mkorofi unanhasira atakuwa ashajua namna ya kudeal na wew
Wanaume wanajifanya hawatak mambo mengi ...Leo salamu leo mtongozo leo nearby Lodge kuvuana. Hawana subira kabisaa
 
Hili ninalijua sana.
Huwa mkimuelewa mwanaume mnasahau kuwa mlishakuwa na mtu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndiyo. Au akikuuliza vipi una mtu unamwambia "no comment ".
Hehehehehe
 
Wanaume wanajifanya hawatak mambo mengi ...Leo salamu leo mtongozo leo nearby Lodge kuvuana. Hawana subira kabisaa
Mtu kama shida yake ni mbususu lazima afanye chap.
Ila kama amekuelewa kwa dhati atakuwa hana haraka.
Ninavyofahamu.
 
Sio kila mwanamke anataka pesa yako
ni akilli, uelewa na unavyomtreat
💯🤝

Kuna manzi alifall kwangu inshort wote wawili tulielewana kipindi hicho bado life langu si kivile lakini pesa ya maisha ya kawaida ipo.

Siku anagraduate wakatoka wanafunzi kadhaa na baadhi ya walimu wao wa chuo lengo wakafurahie sehemu na aliniambia mapema kuhusu hiyo ratiba

Akanipigia simu jioni niende kumchukua pale walipokuwa wameenda nikashtuka kidogo nikamuuliza kwa nini? Akasema wewe njoo kwanza maana kuna lecturer kanifukuza hapa

Nikachukua boda mpaka pale nikakutana naye nikamuuliza akasema kuna lecturer alimtaka kimapenzi alimwomba wakapumzike lodge fulani na jamaa alimuahidi zawadi.

Jamaa alitaka kutumia pesa yake ili ampate. Manzi alipokataa yule lecturer alikasirika akamwambia kama vipi aondoke kwa dharau akamuitia boda yule manzi akaikataa

Nafika pale manzi kaniambia alifanya vile makusudi ili yule mwalimu ajue kwamba ana mtu wake. Nikiangalia jamaa wamepark ndinga zao na mimi nimekuja na boda! Nilifarijika sana ukizingatia kwa kipindi kile kama ukilinganisha life langu lilikuwa chini ukilinganisha na yule lecturer.

Nakubaliana na wewe si kila mwanamke atakuvilia pichu kwa sababu ya pesa japo ni wachache wenye msimamo huo
 
Ndiyo. Au akikuuliza vipi una mtu unamwambia "no comment ".
Hehehehehe
Umenikumbusha raia moja akiwahi kunipa majibu kama haya...no koment🤣🤣🤣
 
[emoji817][emoji1666]

Kuna manzi alifall kwangu inshort wote wawili tulielewana kipindi hicho bado life langu si kivile lakini pesa ya maisha ya kawaida ipo.

Siku anagraduate wakatoka wanafunzi kadhaa na baadhi ya walimu wao wa chuo lengo wakafurahie sehemu na aliniambia mapema kuhusu hiyo ratiba

Akanipigia simu jioni niende kumchukua pale walipokuwa wameenda nikashtuka kidogo nikamuuliza kwa nini? Akasema wewe njoo kwanza maana kuna lecturer kanifukuza hapa

Nikachukua boda mpaka pale nikakutana naye nikamuuliza akasema kuna lecturer alimtaka kimapenzi alimwomba wakapumzike lodge fulani na jamaa alimuahidi zawadi.

Jamaa alitaka kutumia pesa yake ili ampate. Manzi alipokataa yule lecturer alikasirika akamwambia kama vipi aondoke kwa dharau akamuitia bolt yule manzi akaikataa

Nafika pale manzi kaniambia alifanya vile makusudi ili yule mwalimu ajue kwamba ana mtu wake. Nikiangalia jamaa wamepark ndinga zao na mimi nimekuja na boda! Nilifarijika sana ukizingatia kwa kipindi kile kama ukilinganisha life langu lilikuwa chini ukilinganisha na yule lecturer.

Nakubaliana na wewe si kila mwanamke atakuvilia pichu kwa sababu ya pesa japo ni wachache wenye msimamo huo
Situation kama hiyo, Mwanaume unajiona mwamba sana.

Kwahiyo baadae mliachana tena.
 
Kwa uzuri wako nilikuwa nalitegemea hilo[emoji257][emoji257]lakini issue sio kuwa na mtu bali kuwa na mtu sahihi.
BTW sidhan kama ni mtu wako wa kwanza hata akiwa wa kwanza huwezi kujihakikishia kwamba atakuwa wa mwisho. Naomba uwe wa mwisho kwangu nami niwe wa mwisho kwako[emoji1666][emoji1666]
"Huyu niliyenae kwa sasa ni mtu sahihi sana kwangu. Hata yeye ameshaniahidi kuwa atakuwa wa mwisho kwangu nami nimemuahidi nitakuwa wa mwisho kwake."

Ukijibiwa hivi budah utatumia maneno gani kumshawishi mpaka abadili msimano wake?
 
Ni utoto kuulizana kama "una mtu"? We tongoza tu, kwani unamtaka mtu wake au yeye?
 
Back
Top Bottom