Unashughulika vipi na hili la 'nina mtu wangu'?

Unashughulika vipi na hili la 'nina mtu wangu'?

Natumai mu wazima sana,

Mabaharia nina swali lenu hapa, wewe kama mwanaume huwa una deal vipi na jibu utakalopewa na mwanamke kwamba, 'nina mtu wangu'?

Embu shusheni nondo hapo tupate somo.
Kuna mambo haya ukikosea tu utaambiwa hivyo;
1. Vijana mna pupa ukiona binti mrembo papo hapo unaanza tongoza.

2. Uko rafu hauko smart so hajakuelewa amekuwekea ukuta.

3. Amekuona kapuro...wanawake wanaona mbali sana, wewe unawaza mbusu...yeye anapiga hesabu za kuwezeshwa.

Dawa ya hili;
1. Jenga urafiiki/ ukaribu naye ili akuelewe.
Binti akikuelewa huwa anaanza kuishiwa nguvu kwako.
Kazi yako utamalizia kilaini.

2. Acha kutongoza tongoza haraka haraka....sio kila mwanamke anapenda ujinga huu, onyesha kumheshimu na kumjali kwanza.

Nakadori ongezea hunaga uchoyo wa mbinu
Kapeace pita huku
sophy27 sema neno
 
Kuna mambo haya ukikosea tu utaambiwa hivyo;
1. Vijana mna pupa ukiona binti mrembo papo hapo unaanza tongoza.

2. Uko rafu hauko smart so hajakuelewa amekuwekea ukuta.

3. Amekuona kapuro...wanawake wanaona mbali sana, wewe unawaza mbusu...yeye anapiga hesabu za kuwezeshwa.

Dawa ya hili;
1. Jenga urafiiki/ ukaribu naye ili akuelewe.
Binti akikuelewa huwa anaanza kuishiwa nguvu kwako.
Kazi yako utamalizia kilaini.

2. Acha kutongoza tongoza haraka haraka....sio kila mwanamke anapenda ujinga huu, onyesha kumheshimu na kumjali kwanza.

Nakadori ongezea hunaga uchoyo wa mbinu
Kapeace pita huku
sophy27 sema neno

Hakuna wanaokula kilaini hadi kusaza kama wale wanaojenga urafiki na kumjali ke (hata kama uragiki feki). Yani sisi wanawake tunapenda watu ambao wanatuweka kwanza karibu huku wakijifanya marafiki...
Kutujali hata kwa mawazo tu na kutushauri na hawaombi tunda haraka....huwa tunaamini wako waaminifu na sio weak kwa mbususu(swala ambalo sio kweli)
 
Hakuna wanaokula kilaini hadi kusaza kama wale wanaojenga urafiki na kumjali ke (hata kama uragiki feki). Yani sisi wanawake tunapenda watu ambao wanatuweka kwanza karibu huku wakijifanya marafiki...
Kutujali hata kwa mawazo tu na kutushauri na hawaombi tunda haraka....huwa tunaamini wako waaminifu na sio weak kwa mbususu(swala ambalo sio kweli)
💯🤝
 
Hakuna wanaokula kilaini hadi kusaza kama wale wanaojenga urafiki na kumjali ke (hata kama uragiki feki). Yani sisi wanawake tunapenda watu ambao wanatuweka kwanza karibu huku wakijifanya marafiki...
Kutujali hata kwa mawazo tu na kutushauri na hawaombi tunda haraka....huwa tunaamini wako waaminifu na sio weak kwa mbususu(swala ambalo sio kweli)
🤣🤣🤣🤣
Kwa hiyo unaniunga mkono?
 
Natumai mu wazima sana,

Mabaharia nina swali lenu hapa, wewe kama mwanaume huwa una deal vipi na jibu utakalopewa na mwanamke kwamba, 'nina mtu wangu'?

Embu shusheni nondo hapo tupate somo.
Mwambie nimekuelewa ..... Sasa tunafanyaje?
 
Na usivyochelewa ku mind sasa 😅😅😅
Nsamehe ndugu yangu 🤣🤣
Yaani nikumind wewe kabisa?
Ukiona nimekumind ujue nimekuina kiazi na sitaki unisogolee😂😂😂

Najua umenielewa
 
Kuna mambo haya ukikosea tu utaambiwa hivyo;
1. Vijana mna pupa ukiona binti mrembo papo hapo unaanza tongoza.

2. Uko rafu hauko smart so hajakuelewa amekuwekea ukuta.

3. Amekuona kapuro...wanawake wanaona mbali sana, wewe unawaza mbusu...yeye anapiga hesabu za kuwezeshwa.

Dawa ya hili;
1. Jenga urafiiki/ ukaribu naye ili akuelewe.
Binti akikuelewa huwa anaanza kuishiwa nguvu kwako.
Kazi yako utamalizia kilaini.

2. Acha kutongoza tongoza haraka haraka....sio kila mwanamke anapenda ujinga huu, onyesha kumheshimu na kumjali kwanza.

Nakadori ongezea hunaga uchoyo wa mbinu
Kapeace pita huku
sophy27 sema neno
Ni kweli ulichosema na kilamtu ana vipaumbele vyake hivo ni vema kuweka ukaribu na mtu Kam unamuhitaji Ili ujue uende vipi na akuelewe inawezekana hata wew kunavitu ulikuwa huvihitaji Kwa msichana ila Kwa haraka zako usijue ukajua mmeshaanza mahusiano Bora kuwa na urafiki at least mnaweza kufahamiana
 
Hakuna wanaokula kilaini hadi kusaza kama wale wanaojenga urafiki na kumjali ke (hata kama uragiki feki). Yani sisi wanawake tunapenda watu ambao wanatuweka kwanza karibu huku wakijifanya marafiki...
Kutujali hata kwa mawazo tu na kutushauri na hawaombi tunda haraka....huwa tunaamini wako waaminifu na sio weak kwa mbususu(swala ambalo sio kweli)
Hili liko wazi na nimeexperience kwenye mahusiano ila inategemea na mwanamke pia. Ila kwa vijana wengi si rahisi kuwa na subira
 
Ni kweli ulichosema na kilamtu ana vipaumbele vyake hivo ni vema kuweka ukaribu na mtu Kam unamuhitaji Ili ujue uende vipi na akuelewe inawezekana hata wew kunavitu ulikuwa huvihitaji Kwa msichana ila Kwa haraka zako usijue ukajua mmeshaanza mahusiano Bora kuwa na urafiki at least mnaweza kufahamiana
Point sana.
 
Hakuna wanaokula kilaini hadi kusaza kama wale wanaojenga urafiki na kumjali ke (hata kama uragiki feki). Yani sisi wanawake tunapenda watu ambao wanatuweka kwanza karibu huku wakijifanya marafiki...
Kutujali hata kwa mawazo tu na kutushauri na hawaombi tunda haraka....huwa tunaamini wako waaminifu na sio weak kwa mbususu(swala ambalo sio kweli)
Kabisa na tukiamua Kunanaonkimahusiano tunapenda mazima Kuna Raha Kuwa na mahusiano kuwa na mtu ambae ni rafikikwako anakuwa anakuelewa Sana uwe na gubu mkorofi unanhasira atakuwa ashajua namna ya kudeal na wew
 
Ni kweli ulichosema na kilamtu ana vipaumbele vyake hivo ni vema kuweka ukaribu na mtu Kam unamuhitaji Ili ujue uende vipi na akuelewe inawezekana hata wew kunavitu ulikuwa huvihitaji Kwa msichana ila Kwa haraka zako usijue ukajua mmeshaanza mahusiano Bora kuwa na urafiki at least mnaweza kufahamiana
Naomba tuwe marafiki.
 
Back
Top Bottom