BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Hizo nchi zinazo lipa Vizuri Madakfi hawajui huo uwanja? Taifa limejaaa wajinga sana hiliDaktari anayejua kazi yake vizuri, ana uwanja mkubwa sana wa kupata pesa nyingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo nchi zinazo lipa Vizuri Madakfi hawajui huo uwanja? Taifa limejaaa wajinga sana hiliDaktari anayejua kazi yake vizuri, ana uwanja mkubwa sana wa kupata pesa nyingi.
Mimi siwez hizo sarakas kwa umri huu. Nakua mpole.Nimekuzidi ujanja huwa sisimami kwenye daladala
Mimi ni mtaalam wa kupita dirishani
Wewe hujiulizi miaka yote hiyo watu wanatafuta na kuziacha.Nimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
Mshahara huwa hautoshi. Kujiongeza muhimu.Kwa tunapoelekea, hata specialist wataanza kulipwa upuuzi very soon. Washaanza kuwa wengi, Gyne, pediatricians, surgeons wamejazana madarasani kibao, in 5 years tutakuwa na floods of them. Btw, hata specialists serikalini hawana mshahara wa kutisha hivyo. Wengi bila kujiongeza na private clinics, malalamiko yatakuwa makubwa.
Mkuu kuna watu wanakunja pesa ndefu kwa masaa yasiozidi 8 wameajiriwa hapo na wikiend haendi kazini...ila Medicine ili upate hayo maisha ndo unakuta mtu asubuhi saa 2 yupo Uhimbili mpaka saa 8 mchana ,akitoka hapo mbio anakimbia Hindu mandal mpaka saa 2 usiku hapo bado kuna sehemu kaomba kazi afundishe..huyu mtu anapata pesa ila haifaidi hana uhuru nayo ni mateso sasa hiyo kazi gani?Sasa nani anapata 3-5m kirahisi? Labda uwe mwizi. Hakuna hela rahisi sio mwajiriwa wala aliejiajiri. Mshahara wa kuanzia huwa ni mdogo popote pale,ila ukiendelea na kuwa specialist unapanda sio Dr tu hata taaluma nyingine.
Mafuta yanapanda au kushuka Jumatano ya kwanza ya kila mwezi.Akikujibu nistue. Mi nawahi "Sheli" Wajanja wamenijuza kesho huenda wese likapanda bei... Potelea mbali yakute angalau bajaji ya mkopo iko FULL tank la mchongo...
Tayari umeshazungumzia Daktari ambaye ana taaluma lakini huyu anayelipwa almost milioni 3 hana elimu yoyote wala fani yoyote lakini anakunja aidha sawa ama kumzidi mwenye taaluma.Enhe na MD wa hifadhi za taifa TANAPA(serikali),analipwa bei gani?,........au unadhani TANAPA hamna madaktari wa binadamu na wanyama?😆😃
Kwa sababu watu wananyonywa.. enzi za ujamaa kila kazi mshahara wake unajulikana... hizo za confidential umezitolea wapi katika nchi hii? wabunge tu tunajua wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya n.k au kujifanya mjuaji tu.. kuna watu hawastahili aina ya mishahara pengine sababu wapo makazini kwa kutoa umbea tu kwa mabosi wanapata mishahara mikubwa kuliko slary scale wanazostahiliMshahara wa mtu ni Confidential, wewe umeonaje? report central police mara moja
Hao wanaishi vizuri mno...Tuwekee pia mshahara na posho za Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania, anayetakiwa kujua tu kusoma na kuandika!
Hapo hajavuta mkopo CRDB/ NMB maninna!
Tena bado wanalalamika mshahara ni mdogo.Hao wanaishi vizuri mno...
Siasa inalipa Sana...
Wale wahasibu wakiunganisha na marupurupu huyo md anaachwa mbaliKuna watu wanalipwa laki 5 wahasibu wapo serikalini
1. Fani ya TRA. Hujasikia hata rais anaongelea TRA ni balaa na nusu TRA, Bank, BOT, TPA, REA, TANESCO, EWURA, TPDC, NIC, Insurance nk.1.Fani zipi watu walisoma na sasa ni matajiri?
2.kua walimu wa chuo kikuu nao ni miongoni mwa watu masikini hapa Tanzania?