Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Hayo ndio mambo tena 2023 hiiNgoja nikuwekee ya jamaa mmoja anafanya kazi ya sales.
View attachment 3044146
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ndio mambo tena 2023 hiiNgoja nikuwekee ya jamaa mmoja anafanya kazi ya sales.
View attachment 3044146
Huyu ana muda gani kazini? Experience yake ipojeNgoja nikuwekee ya jamaa mmoja anafanya kazi ya sales.
View attachment 3044146
Private huyo na usikute ni boss wa idara sasa yeye analinganisha na serikaliniHuyu ana muda gani kazini? Experience yake ipoje
pia utakuta huyo ana miaka kibao kazini...sasa we mtu utoke chuo ulipwe 7m si utakufa mapema...Private huyo na usikute ni boss wa idara sasa yeye analinganisha na serikalini
Si kwamba haturidhiki, ni uhalisia wa mahitaji ya maisha ya kawaida tu mkuu.. the law of demand and supply is so real and it appliesNi kama haturidhikag Na pesa binadamu tunataka more always
Inabidi tu uridhike hata Kwa kujiforceAllowance zipo kibao
Call allowance
Special duty allowance
Akijikusanya hizo zote ziinamrudisha kwenye kahela fulani hivi
SEma actually pesa haijawahi tosha
Kuna watu wanalipwa laki 5 wahasibu wapo serikaliniUkiona nchi hata daktari analipwa chini,jua hata kada zingine kwenye taasisi hio hio zinalipwa duni mara 2,........na hii sio tu Tanzania,hata ulaya na U.S mkuu
Kwa mwaka ni sawa na 10,760,000 sio mbayaNimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
Wakati mwingine angalia jinsi unavyojibu hasa Jinsi tofauti na yako. Umemnyanyasa ephen_ siamini unavyojitweza nyuma ya keyboard ni sawa na uhalisia wako!Unawaza ki shule shule ndio sababu. Na unajiona wewe kama wewe ulivyo hapo..
Sio pesa ndogo, lakin kwa mtu mwenye majukumu hiyo ninpesa ya kawaida tu. Hiyo basic salary ya 1.5m ni wastan wa shiling 50k kwa siku.
Binafsi nikiwa kwenye mizunguko yangu kwa usafir tu umma ninkawaida wakat mwingine kumaliza mpaka 20k per day, hujala hujanywa hujafanya starehe yoyote na wala hujujumuisha pesa ya marumiz ya kila siku nyumbani kwa familia, sija mention ada wala bills ndogo ndogo kama gesi umeme, dharura na mambo mengine.
Hiyo pesa ni nying ila haitoshi utatakiwa kuishi kwa kujibana sanaaaaaaaa kiasi hufarahii kazi yako wala elimu ulioisotea miaka mingi matokeo yake unaanza kuwa mwizi kila kitu unaona dili hata packet ya panadol na mikasi au viwembe vya hospital utataman uibe ukauze..
Ameninyanyasa sana! Nililia machozi kabisa kwa maneno ya Ivan StepanovWakati mwingine angalia jinsi unavyojibu hasa Jinsi tofauti na yako. Umemnyanyasa ephen_
Kama anakutaka aseme! This is too much, tunamuonaAmeninyanyasa sana! Nililia machozi kabisa kwa maneno ya Ivan Stepanov
Hapana hanitaki! Yeye ni kaka anguKama anakutaka aseme! This is too much, tunamuona
Kwa tunapoelekea, hata specialist wataanza kulipwa upuuzi very soon. Washaanza kuwa wengi, Gyne, pediatricians, surgeons wamejazana madarasani kibao, in 5 years tutakuwa na floods of them. Btw, hata specialists serikalini hawana mshahara wa kutisha hivyo. Wengi bila kujiongeza na private clinics, malalamiko yatakuwa makubwa.Huu ni mshahara wa kuanzia. Hata taaluma nyingine huanzi na milion nyingi. Vipi ushaona mshahara wa Spcialist Dr? Nina rafiki zangu ma Dr wako vizuri sana, Mtu ana clinic Hindu Mandal, Aga Khan, anafundisha Muhimbili na Kairuki na ameajiriwa full time hospital kubwa ya serikali. Nikikutajia anachopata kwa mwezi hutaamini. Ila anahenyeka hana muda wa kupoteza. Mwanzo mgumu vijana usitegemee utoke tu chuo ulipwe 3m Tanzania hii.
Ndugu yangu narumuk ,sio jukumu langu kukufanya uamin kile nisemacho kwa maana hata ukiamini haiwez kukufaa kitu.Wakati mwingine angalia jinsi unavyojibu hasa Jinsi tofauti na yako. Umemnyanyasa ephen_ siamini unavyojitweza nyuma ya keyboard ni sawa na uhalisia wako!
Sawa na usd 5000, hahaKwa mwaka ni sawa na 10,760,000 sio mbaya
Mbona ukacheka sasa.Ameninyanyasa sana! Nililia machozi kabisa kwa maneno ya Ivan Stepanov