Unasomea Udaktari miaka mingi, kisha unakuja kulipwa hivi

Unasomea Udaktari miaka mingi, kisha unakuja kulipwa hivi

Mli9coment negative hamjui kitu,pamoja na huo mshahara kiduchu ila wana overtime na part time kwenye hospitali binafsi,wanapolipwa maradufu ya huu
MD,s saiv wapo wengi mzee..wapo kibao hawana ajira. Hata hizo part time hawapati..wengine wanafanya boda boda na wengine wanalipwa laki 2 huko kwenye vi private uchwara
 
........
Who, When, why za nini mkuu.
Mimi nakuambia uhalisia wa malipo, sizungumzii Agha Khan nazungumzia serikalini.
Kwa hio serikalini kote madaktari bingwa wanalipwa 2.2M,yaani taasisi zote zinazomilikiwa na serikali,bila kujali,experiences,elimu,ilipo taasisi,taasisi ipo chini ya wizara gani etc........
Either wewe ni mtoto,ama kama mkubwa basi ni LIPUMBAVU SANA😀
 
Back
Top Bottom