Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Acha umbeyaNimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha umbeyaNimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
Unaanza kuiona haitoshiDahh!!. Maisha ya watanzania/waafrika ni mateso sana hakyanani.
Hiyo pesa usipokua na kazi unaweza itaman sana ila subiri upate hiyo kazi sasa.
Endelea kukariri.Acha uongo hauoni aibu .
Hakuna Md bodaboda
Huu ni mishahara tu pesa anayopiga ni zaidi ya hiyo ana percent kwenye consulNimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
Huu ni mshahara tu kuna pesa nyingi wanapata hesabu kila akimuona mgonjwa anapata percent ya consultation fee bado akiwa call analipwa bado overtime allowance pesa ya bima ana percent hujaweka vikao operation na hapo hajaiba bado huo mshahara hata haufikiriiNimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
Na Hilo deni amshukuru mama ,enzi za yule shujaa wenu ingekuwa dabo na riba Juu hakuna deni kuisha plus penalty 😂😂😂😂Hiyo 32m lazima ikutoe jasho...kikubwa mkuu usiache kuwekeza...
Hapo asikilize tu ushauri...atafute side hustle vinginevyo atalalamika mpk anazeeka....Na Hilo deni amshukuru mama ,enzi za yule shujaa wenu ingekuwa dabo na riba Juu hakuna deni kuisha plus penalty 😂😂😂😂
Tatizo la kusoma sana ili uje upate hela. Fanyia kazii taluuma Yako kwa moyo ueshimike ila kama kwenu ni masikini una safari ndefu na ngumu ndo utajirikeNimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
Ukiona hivyo yeye ndo muhusika wa hiyo slipMshahara wa mtu ni Confidential, wewe umeonaje? report central police mara moja
Kabisa mkuu.Aisee hiyo basic hata usd 600 haifiki! Nchi za kifala sana hizi!
Anadaiwa Million 32 yaan zilibakia 3 tu amfikie Sativa sasa itakuaje?Nimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
Kabisaa yan.ukiwa huna ishu hata dili ya 200k kwa mwez unaweza ukaona big deal , anza sasa uioneUnaanza kuiona haitoshi
Akikujibu nistue. Mi nawahi "Sheli" Wajanja wamenijuza kesho huenda wese likapanda bei... Potelea mbali yakute angalau bajaji ya mkopo iko FULL tank la mchongo...Umesema unawalipa. wewe ni nani unawalipa Ma Dr? Ili uwalipe Ma Dr inabidi uwe serikali au mmiliki wa hospital. Wewe ni nani?
Ni kama haturidhikag Na pesa binadamu tunataka more alwaysKabisaa yan.ukiwa huna ishu hata dili ya 200k kwa mwez unaweza ukaona big deal , anza sasa uione
Na uwe na sifa za kuwa specialist (ufaulu)Na kufikia kuwa specialist lazima uunguze tena sio chini ya 35M.
Sasa nani anapata 3-5m kirahisi? Labda uwe mwizi. Hakuna hela rahisi sio mwajiriwa wala aliejiajiri. Mshahara wa kuanzia huwa ni mdogo popote pale,ila ukiendelea na kuwa specialist unapanda sio Dr tu hata taaluma nyingine.