Unasomea Udaktari miaka mingi, kisha unakuja kulipwa hivi

Unasomea Udaktari miaka mingi, kisha unakuja kulipwa hivi

Yeah it is. Time management ndio muhimu. Wapo wanapata nyingi zaidi. Kama unataka ordinary life just work 9-5 sio Dr tu hata ukijiajiri.
Mwisho wa siku mafanikio halali kama sio wizi, utapeli, ufisadi na utumiaji mbaya wa ofisi za umma lazima yaende taratibu na kwa Heshima kubwa sana ya Pesa. Ikiwemo kuchapa kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom