Kaparo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,072
- 5,053
Pagumu sana, kuna wanaosema awe specialist. Hawajui kama kuwa specialist inabidi uchome tena 30M+Kifupi chances za daktari kutegemea tu kazi yake ndo awe tajiri ni ngumu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pagumu sana, kuna wanaosema awe specialist. Hawajui kama kuwa specialist inabidi uchome tena 30M+Kifupi chances za daktari kutegemea tu kazi yake ndo awe tajiri ni ngumu sana.
Nyie peaneni moyo tu ila kwa ground hali ni mbaya sana.Huu ndio UPUMBAVU tuliokua tunauzungumzia,yaani ufananishe degree ya doctor of medicine na muuza chips........lengo la elimu,sio kukupa tu pesa instantly la hasha, hata opportunities........huyo mwenye hio salary,anaweza kopa millioni 20 akajenga nyumba akapata Kodi lwa mwezi laki 2/au akaishi mwenyewe hio nyumba,.......akiumwa yeye na wategemezi wake anaweza pata first care services,yeye na wategemezo hospitali kubwa yeyote hapa bongo.
Haya ni maswali ya ninyi WAPUMBAVU
1.Ushawahi jiuliza zikitoka ajira za walimu,watendaji wa kata serikalini,labda elfu 8 wanaoomba kwa nini hua zaidi ya 100,000-120,000,unadhani mabanda ya chips hawayaoni,au hawazioni fremu kariakoo?😆😆
2.Unajua kwa nini vyuo vya udaktari ada ya mwaka mmoja tu ni sawa na ada ya miaka 3 ya baadhi ya degree na chenji inabaki?,na wazazi ambao ni maengineers,lawyers,wafanyabiashata hugombania hizo nafasi kwa watoto wao?ili wasome?
NOTE
1.Baadae mtu huyu alianzia chini kama karani wa mahakama,muhasibu wa halmashauri,daktari wa zahanati,munakuja kumuita fisadi akishakua kamishna WA Kodi,ama jaji ama daktari bingwa,bobezi,.......kwa kulipwa muzo yenu ya biashara zas siku kwa saa
2.Baadae huyo MD akienda seminar na kulipwa per diem ya faida ya wiki ya machinga,munaita anatafuta Kodi vibaya😃😆
3.baadaya miaka 6 huyo MD akirudi masomoni na akawa anafanya consultation ya taaluma yake kwa 100,000/= kwa kichwa muje museme ana roho mbaya hajari uhai?😃😃
poleNimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
Muhas ni 21M per year kwa baadhi ya MMED, hapo hatujajumuisha personal expenses. Watu waongee tu ila kiukweli madaktari wengi kiuhalisia wana depression kali sana.Pagumu sana, kuna wanaosema awe specialist. Hawajui kama kuwa specialist inabidi uchome tena 30M+
Allowance za kula chapati na kipapatio 😂Hapo kuna allowances hazijawekwa.
Enhe taaluma ipi wanayolipa hio salary scale,wanalipwa pesa kubwa kuliko hio scale ya huyo daktari?😀Status
Ndo maana madaktari wanabet
Hali ni mbaya hata kwa wabunge mkuu ndio mana wakajiongezea mshahara mwaka huu kutoka milioni 12 hadi 18,na humo ndani ya bunge kuna wanasheria,wahasibu,wasiosma na madaktari wa kutosha tuNyie peaneni moyo tu ila kwa ground hali ni mbaya sana.
Bado haitoshi Mkuu. Maana angepata kama Shilingi 1,100,000.Je? Kama asingekua na mkopo? Haitoshi?
Kazi ni kipimo cha UTU
Jeshini ile ni danganya toto Toka nje ya kambi uone maisha yatakavyo kupiga, umezoea umeme, chakula,sigara bia, maji BureHakuna Allowance huku mkuu.. ni mshahara pekee. Labda jeshini wao wana allowance ya nyumba,maji na umeme.
Nyie humu andikeni tu ila madaktari wanapita kimya kimya wakisikitika.Allowance zipo kibao
Call allowance
Special duty allowance
Akijikusanya hizo zote ziinamrudisha kwenye kahela fulani hivi
Hizo zipo mijiniHuu ni mshahara wa kuanzia. Hata taaluma nyingine huanzi na milion nyingi. Vipi ushaona mshahara wa Spcialist Dr? Nina rafiki zangu ma Dr wako vizuri sana, Mtu ana clinic Hindu Mandal, Aga Khan, anafundisha Muhimbili na Kairuki na ameajiriwa full time hospital kubwa ya serikali. Nikikutajia anachopata kwa mwezi hutaamini. Ila anahenyeka hana muda wa kupoteza. Mwanzo mgumu vijana usitegemee utoke tu chuo ulipwe 3m Tanzania hii.
Muhas ni 21M per year kwa baadhi ya MMED, hapo hatujajumuisha personal expenses. Watu waongee tu ila kiukweli madaktari wengi kiuhalisia wana depression kali sana.
Ukiona nchi hata daktari analipwa chini,jua hata kada zingine kwenye taasisi hio hio zinalipwa duni mara 2,........na hii sio tu Tanzania,hata ulaya na U.S mkuuNyie humu andikeni tu ila madaktari wanapita kimya kimya wakisikitika.
Wana miaka mingapi kazini na huyo daktari ana miaka mingapi kazini?Huku Kuna watu wamesoma mambo ya biashara au administration miaka 3 wanalipwa zaidi ya hiyo
Nina jamaa yangu anaenda kusoma specialist ya Paediatric mwezi wa 11 mwaka huu. Total gharama ni milioni 40.Na kufikia kuwa specialist lazima uunguze tena sio chini ya 35M.
Hakuna Allowance huku mkuu.. ni mshahara pekee. Labda jeshini wao wana allowance ya nyumba,maji na umeme.