Blender
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 4,870
- 8,035
Mitishamba kwenye hospital za umma, Ndio maana sikuoiKama hazitoshi si unaongeza na utaalam wa mababu, uganga wa mitishamba juu yake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitishamba kwenye hospital za umma, Ndio maana sikuoiKama hazitoshi si unaongeza na utaalam wa mababu, uganga wa mitishamba juu yake?
Hizo allowance ni kwa wanajeshi wanao ishi nje ya kambi siyo waliopo ndani ya kambi. Umeelewa?Jeshini ile ni danganya toto Toka nje ya kambi uone maisha yatakavyo kupiga, umezoea umeme, chakula,sigara bia, maji Bure
3m ni mshahara wa Mkurugenzi Serikalini.Sasa nani anapata 3-5m kirahisi? Labda uwe mwizi. Hakuna hela rahisi sio mwajiriwa wala aliejiajiri. Mshahara wa kuanzia huwa ni mdogo popote pale,ila ukiendelea na kuwa specialist unapanda sio Dr tu hata taaluma nyingine.
Umenifanya nicheke mpaka nimeulizwa hapa....😄🤣 Kaka Engineer saivi wametosha nyie mnasoma tu kuongeza idadi eti mechanical😄 Kidogo labda automobile EngeneerAnaye jua mshahara wa mechanical engineering anitajie maana sio tunasoma tu! Mwakani naua mwaka wa 4 nisije nikawa nauza bangia mtaani
Na huwezi kutoka chuo ukaenda juwa mkurugenzi moja kwa moja.3m ni mshahara wa Mkurugenzi Serikalini.
Kazi ya kijinga sana.. Halafu Jamii ina amini kuwa Ume someshwa na Serikali,. wana chukua namba yako, kazi moja ni kukupigia wakiwa na shida au form ya matibabu ya dogo kwenda shuleNimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
Umeongea pointi nzuri wala sikupingi maana sijaja hapa kubishana na watu.Huu ndio UPUMBAVU tuliokua tunauzungumzia,yaani ufananishe degree ya doctor of medicine na muuza chips........lengo la elimu,sio kukupa tu pesa instantly la hasha, hata opportunities........huyo mwenye hio salary,anaweza kopa millioni 20 akajenga nyumba akapata Kodi kwa mwezi laki 2/au akaishi mwenyewe hio nyumba,.......akiumwa yeye na wategemezi wake anaweza pata first care services,yeye na wategemezi hospitali kubwa yeyote hapa bongo.
Haya ni maswali ya ninyi WAPUMBAVU
1.Ushawahi jiuliza zikitoka ajira za walimu,watendaji wa kata serikalini,labda elfu 8 wanaoomba kwa nini hua zaidi ya 100,000-120,000,unadhani mabanda ya chips hawayaoni,au hawazioni fremu kariakoo?😆😆
2.Unajua kwa nini vyuo vya udaktari ada ya mwaka mmoja tu ni sawa na ada ya miaka 3 ya baadhi ya degree na chenji inabaki?,na wazazi ambao ni maengineers,lawyers,wafanyabiashara hugombania hizo nafasi kwa watoto wao?ili wasome?
NOTE
1.Baadae mtu huyu alieanzia chini kama karani wa mahakama,muhasibu wa halmashauri,daktari wa zahanati,munakuja kumuita fisadi akishakua kamishna wa Kodi,ama jaji ama daktari bingwa bobezi,.......kwa kulipwa mauzo yenu ya biashara za siku kwa saa
2.Baadae huyo MD akienda seminar na kulipwa per diem ya faida ya wiki ya machinga,munaita anatafuna Kodi vibaya😃😆
3.baada ya miaka 6 huyo MD akirudi masomoni na akawa anafanya consultation ya taaluma yake kwa 100,000/= kwa kichwa muje museme ana roho mbaya hajari uhai?😃😃
Is it ethical,Dr inabid atulie kwemue kituo chake kimoja we apo unazungumzia jinsi anavyoangaika kuokota uku na uku ili apate iyo 3mHuu ni mshahara wa kuanzia. Hata taaluma nyingine huanzi na milion nyingi. Vipi ushaona mshahara wa Spcialist Dr? Nina rafiki zangu ma Dr wako vizuri sana, Mtu ana clinic Hindu Mandal, Aga Khan, anafundisha Muhimbili na Kairuki na ameajiriwa full time hospital kubwa ya serikali. Nikikutajia anachopata kwa mwezi hutaamini. Ila anahenyeka hana muda wa kupoteza. Mwanzo mgumu vijana usitegemee utoke tu chuo ulipwe 3m Tanzania hii.
Weka connection acha blah blah kama maisha ni rahisi hivyo?Unaweza usiamini nikikueleza niliamua kuqcha ile kazi kwa hiyari yangu bila kulazimishwa.
Ilikua ni project ya mwaka mmoja, mimi nikafanya only 6 months only
Allowance zip hakuna wanachopata zaid ya icho kwenye salary slipHapo kuna allowances hazijawekwa.
MshasNa kufikia kuwa specialist lazima uunguze tena sio chini ya 35M.
Unadhani wafanyabiashara,madereva malori,mabasi,wao wanalala na familia zao muda wote.....maisha ni complete battle fieldIs it ethical,Dr inabid atulie kwemue kituo chake kimoja we apo unazungumzia jinsi anavyoangaika kuokota uku na uku ili apate iyo 3m
Jamaa wanaseka sana asee hawakai ata nafamilia wanaunga kijiwe kimoja kwenda kingine 24/7 hawapumziki
Ili uje ulipwe millioni 2.2 ya kuanzia. Humu tuuu...Nina jamaa yangu anaenda kusoma specialist ya Paediatric mwezi wa 11 mwaka huu. Total gharama ni milioni 40.
Bado ujasema Kuna watu uku wana degree zao wanaitaka serekali iwape ajira za certificate life is not fairNimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
So, watu waishie form four wakaombe kazi ya ugambo TPA, au sio?Huo mshahara analipwa mgambo mwenye cheti cha form 4 pale TPA.
Kweli maisha ni timing
Asome nini ili alipwe zaidi ya hio kwenye taasisi yake hapa Tanzania?Ili uje ulipwe millioni 2.2 ya kuanzia. Humu tuuu...
Yeah it is. Time management ndio muhimu. Wapo wanapata nyingi zaidi. Kama unataka ordinary life just work 9-5 sio Dr tu hata ukijiajiri.Is it ethical,Dr inabid atulie kwemue kituo chake kimoja we apo unazungumzia jinsi anavyoangaika kuokota uku na uku ili apate iyo 3m
Jamaa wanaseka sana asee hawakai ata nafamilia wanaunga kijiwe kimoja kwenda kingine 24/7 hawapumziki
Hakuna anayebisha kuwa huu ni mdogo.Kwa mshahara huo ni mdogo, ila kwa sababu ameamua kuwa 'cheap labour' hakuna namna; angekuwa vizuri angetafuta kazi huko nje akapokee milioni 30
Kazi za wito hizo.Allowance zip hakuna wanachopata zaid ya icho kwenye salary slip
Ulitaka Mapato yote ya serikali yatumike kulipa mishahara?Nimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955