Unasomea Udaktari miaka mingi, kisha unakuja kulipwa hivi

Unasomea Udaktari miaka mingi, kisha unakuja kulipwa hivi

Umeshasema specialist hapo ametia miaka 9 ya darasana na bado hata 3M haufiki huo mshahara ili apate hela za kutosha ndo kama hivyo anateseka anafanya kazi masaa mengi kukidhi mahitaji na status yake.
Sasa taaluma gani kwenye taasisi hio hio wanafanya kazi masaa machache na kulipwa pesa nyingi?
Mfano uende tume ya madini,mtaalamu wa manunuzi alipwe sawa na mtaalamu wa madini,uende BOT,muhasibu nguli alipwe sawa na HR,the same as MEDICINE,ukiona specialist hafiki hata 3M kwenye hio taasisi jua kada zingine hawafiki hata nusu ya hio
Pamoja na hio salary slipi kuonesha salary ndogo,ada medicinekwa mwaka inazidi hata ada ya baadhi degree kwa miaka yote 3 na vigezo vya kusoma vinazidi tu kupaaa.........si hakuna hela kwenye hio fani?😃😃
 
Sasa nani anapata 3-5m kirahisi? Labda uwe mwizi. Hakuna hela rahisi sio mwajiriwa wala aliejiajiri. Mshahara wa kuanzia huwa ni mdogo popote pale,ila ukiendelea na kuwa specialist unapanda sio Dr tu hata taaluma nyingine.
Braza nilishawah pata kazi flan kirahis mnoooo na ile kazi sikua hata naona ninachokifanya mpaka (honestly) siku nikamfuata msaidizi /chawa wa director nikamuuliza "hivi hakuna kazi zingine za kufanya zaidi ya hizi?? Mbona naona kama sifanya kazi hapa inayoe dana na mshahara mnaonilipa" kazi muda mwingi ni vikao vikao tuuuu na kuandika andika report, i was employed as an IT personelly lakin nikajua hapo ni mwendonwa software development tu ila kutwa nacheza na excel halaf sasa uliza mshahara, nilikua nalipwa milion 3.5 kwa mwezi.

Na kaz ilikua full kusafir, na kila ukisafir per dm 80k every day nje ya ofisi hapo umeshalipowa hotel, na chakula, ukiwa kwenye movement ya kiofisi ni gari. Unakula pipa mara 2 hadi 3 kwa week.

Ukija kusanya per dm mpaka mwez unaisha sio chini ya 1.5milion nje ya mshahara..
 
Mu

Muuza chips aliyesoma darasa la saba anakunja 30k kila siku.

Elimu ni nzuri lkn kama haina returns inakuwa sio nzuri ten.

Tunashukuru Madktari kwa kutuendelea kutupa huduma kwa watoto wetu, wake zetu na. Wazee wetu pia wanapoumwa.

Kiukweli hiyo pesa haiendani
Huu ndio UPUMBAVU tuliokua tunauzungumzia,yaani ufananishe degree ya doctor of medicine na muuza chips........lengo la elimu,sio kukupa tu pesa instantly la hasha, hata opportunities........huyo mwenye hio salary,anaweza kopa millioni 20 akajenga nyumba akapata Kodi kwa mwezi laki 2/au akaishi mwenyewe hio nyumba,.......akiumwa yeye na wategemezi wake anaweza pata first care services,yeye na wategemezi hospitali kubwa yeyote hapa bongo.
Haya ni maswali ya ninyi WAPUMBAVU
1.Ushawahi jiuliza zikitoka ajira za walimu,watendaji wa kata serikalini,labda elfu 8 wanaoomba kwa nini hua zaidi ya 100,000-120,000,unadhani mabanda ya chips hawayaoni,au hawazioni fremu kariakoo?😆😆
2.Unajua kwa nini vyuo vya udaktari ada ya mwaka mmoja tu ni sawa na ada ya miaka 3 ya baadhi ya degree na chenji inabaki?,na wazazi ambao ni maengineers,lawyers,wafanyabiashara hugombania hizo nafasi kwa watoto wao?ili wasome?
NOTE
1.Baadae mtu huyu alieanzia chini kama karani wa mahakama,muhasibu wa halmashauri,daktari wa zahanati,munakuja kumuita fisadi akishakua kamishna wa Kodi,ama jaji ama daktari bingwa bobezi,.......kwa kulipwa mauzo yenu ya biashara za siku kwa saa
2.Baadae huyo MD akienda seminar na kulipwa per diem ya faida ya wiki ya machinga,munaita anatafuna Kodi vibaya😃😆
3.baada ya miaka 6 huyo MD akirudi masomoni na akawa anafanya consultation ya taaluma yake kwa 100,000/= kwa kichwa muje museme ana roho mbaya hajari uhai?😃😃
 
Huu ni mshahara wa kuanzia. Hata taaluma nyingine huanzi na milion nyingi. Vipi ushaona mshahara wa Spcialist Dr? Nina rafiki zangu ma Dr wako vizuri sana, Mtu ana clinic Hindu Mandal, Aga Khan, anafundisha Muhimbili na Kairuki na ameajiriwa full time hospital kubwa ya serikali. Nikikutajia anachopata kwa mwezi hutaamini. Ila anahenyeka hana muda wa kupoteza. Mwanzo mgumu vijana usitegemee utoke tu chuo ulipwe 3m Tanzania hii.
Huu ukweli mchungu ambao vijana wengi wakitoka chuo ndoto zao kuwa wafanyabiashara hawataki kuajiriwa,wakifika mjini wanaishia kua mawinga wa ofisi za walioajiriwa wanaanza kuwa maadui wa Kila taaluma😃😆😆
Maisha safari ndugu zanguni,hata wabunge kama shabiby,Abood,mawaziri,magenerali wa jeshi,na rais wapo kwenye payroll ya serikali miaka na Miaka,wakivuta mpunga zaidi ya watu wenye mtaji wa hata 2Bilioni pale kariakoo🤣🤣,ila pamoja na kua serikalini,wameajiri vijana wengi sana ambao wanajinasibu kamwe hawawezi kuajiriwa serikalini,kua huwezi kua tajiri😆😆
 
Braza nilishawah pata kazi flan kirahis mnoooo na ile kazi sikua hata naona ninachokifanya mpaka (honestly) siku nikamfuata msaidizi /chawa wa director nikamuuliza "hivi hakuna kazi zingine za kufanya zaidi ya hizi?? Mbona naona kama sifanya kazi hapa inayoe dana na mshahara mnaonilipa" kazi muda mwingi ni vikao vikao tuuuu na kuandika andika report, i was employed as an IT personelly lakin nikajua hapo ni mwendonwa software development tu ila kutwa nacheza na excel halaf sasa uliza mshahara, nilikua nalipwa milion 3.5 kwa mwezi.

Na kaz ilikua full kusafir, na kila ukisafir per dm 80k every day nje ya ofisi hapo umeshalipowa hotel, na chakula, ukiwa kwenye movement ya kiofisi ni gari. Unakula pipa mara 2 hadi 3 kwa week.

Ukija kusanya per dm mpaka mwez unaisha sio chini ya 1.5milion nje ya mshahara..
Weka connection haraka sana
 
Miaka 6 ya msoto lakini malipo sawa tu na Mwanasheria wakipishana kiduchu mno.

Mwajiriwa Hifadhi za Taifa huko porini asiye na elimu kubwa analipwa mara mbili ya hii ya MD.
Enhe na MD wa hifadhi za taifa TANAPA(serikali),analipwa bei gani?,........au unadhani TANAPA hamna madaktari wa binadamu na wanyama?😆😃
 
Nimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
Doctor anatakiwa kulipwa kwa ubora wa kazi siyo karatasi za darasani na shuleni ...karatasi za darasani na shuleni ni kwa ajili ya kuajiliwa tu ila mshahara ni matokeo ya kazi uliyo ifanya siku kwa siku
 
Back
Top Bottom