Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mu
Elimu ni nzuri lkn kama haina returns inakuwa sio nzuri ten.
Tunashukuru Madktari kwa kutuendelea kutupa huduma kwa watoto wetu, wake zetu na. Wazee wetu pia wanapoumwa.
Kiukweli hiyo pesa haiendani
Muuza chips aliyesoma darasa la saba anakunja 30k kila siku.Nimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
Elimu ni nzuri lkn kama haina returns inakuwa sio nzuri ten.
Tunashukuru Madktari kwa kutuendelea kutupa huduma kwa watoto wetu, wake zetu na. Wazee wetu pia wanapoumwa.
Kiukweli hiyo pesa haiendani