Thabit Karim
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 393
- 735
Miaka 6 ya msoto lakini malipo sawa tu na Mwanasheria wakipishana kiduchu mno.
Mwajiriwa Hifadhi za Taifa huko porini asiye na elimu kubwa analipwa mara mbili ya hii ya MD.
Piga kazi usipende hela,zitakuja zenyewe.Ntu hafuati hela,ila hela zinanfuata mtu.Nimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
1.Umetaja taasisi za serikali kisha unasema hizo ni fani/taaluma?1. Fani ya TRA. Hujasikia hata rais anaongelea TRA ni balaa na nusu TRA, Bank, BOT, TPA, REA, TANESCO, EWURA, TPDC, NIC, Insurance nk.
2. Maisha ya walimu Tanzania yanafanana haijalishi anafundisha chuo kikuu ama anafundisha vidudu(chekechea). Tofauti yao ni ndogo sana. Maisha yao yanafanana kuanzia tabia hadi maisha ya kawaida.
1.Taasisi ipi Tanzania?, mtu ambaye hana taaluma analipwa zaidi ya mtu mwenye taaluma,itaje hio taasisi.Tayari umeshazungumzia Daktari ambaye ana taaluma lakini huyu anayelipwa almost milioni 3 hana elimu yoyote wala fani yoyote lakini anakunja aidha sawa ama kumzidi mwenye taaluma.
1.Umetumia tool ipi kupima kiwango cha stress?poleni sana wakuu, nilikuwa sahihi nilipoachana na masuala ya kusoma baada ya kumaliza kidato cha nne nikaanza kujishuhulishi na biashara ndogo ndogo, naishi kwa amani sana licha ya kuwa sina utajiri. wenzangu munaishi na stress sana.
1.Umetumia tool ipi kupima kiwango cha stress?
2.hata machinga anasema naye amejiajiri na haetegemei mshahara,lakini afisa yupo BRELA analipwa mtaji wa huyo machinga kwa mwezi na analalamika amejiajiri
3.Shida Moja ya elimu ukiimbia na kuipinga,lazima TU uwe mjinga ama mpumbavu,sababu Kuna muda utaihitaji,kama wewe hapo unaposema una furaha bila kutaja tool uliyotumi kupima furaha
Hajui maana ya 'madokezo'.Wale wahasibu wakiunganisha na marupurupu huyo md anaachwa mbali
Elimu ukiikimbia lazima uwe MPUMBAVU......Kila parameter kwenye maisha inapimwa Kwa tool maalum,kama distance in KM,temperature in centigrade etc,hata furaha na stress kuna tools zinatumika kupimia.punguza joto mkuu matusi yanini? mbona umekuwa offended kama hivo? humu kila siku wanaokuja kulalamika ni walimu, madaktari, waajariwa wa serikali. sasa unataka kipimo gani chengine mkuu? mnaishi na mastress mingi sana halafu munajifanya kutembea vifua mbele kama ni watu waliofanikiwa ila kiundani mna hali mbaya sana.
Kasome na ww miaka mitatu ulipwe zaid ya hiyoila kwa daktari miaka 5+1 mshahara huo ni majanga
Huku Kuna watu wamesoma mambo ya biashara au administration miaka 3 wanalipwa zaidi ya hiyo
Kipi kinakushangaza hapo. Within 14 years anamaliza hata before 45 years kashaua deni.Deni la HELSB 32M duh, hadi liishe wallah unakuwa unatukana kila ukishika salary slip yako.
Huyo kasomea Private Uni. Waliosomea Gov Uni(MUHAS, UDOM) wana madeni hayafiki 20M.Deni la HELSB 32M duh, hadi liishe wallah unakuwa unatukana kila ukishika salary slip yako.
Shida binadamu tukiambiwa ukweli tuna nuna,sibora hata umeipata hiyo ajira wapo wenzake hata kupata mkopo wa kusoma hawaja pata,umepata unataks mshahara mil.10.Nenda marekani ukaajiriwe,ama burundi kama ukinuna zaidi.Balance story je huyo angeweza kusomea udaktari kma serikali isinge mpa mkopo wa mil 32
GDP ndogo sasa tuishie kulipana mishahara tu?Nimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
Kabisa vijana wa Taifa wameharibiwa na siasa za chuki hapo anaona daktari anaonewa ni nani kwenye hii nchi ana mshahara mkubwa ,Shida binadamu tukiambiwa ukweli tuna nuna,sibora hata umeipata hiyo ajira wapo wenzake hata kupata mkopo wa kusoma hawaja pata,umepata unataks mshahara mil.10.Nenda marekani ukaajiriwe,ama burundi kama ukinuna zaidi.
Akitaka aingie kwenye siii hasaa na ikiwezekana awe mla kwa urefu wa kamba.Kabisa vijana wa Taifa wameharibiwa na siasa za chuki hapo anaona daktari anaonewa ni nani kwenye hii nchi ana mshahara mkubwa ,