Unatafuta nyimbo za Kiafrika (Kongo)? Karibu upatiwe

Unatafuta nyimbo za Kiafrika (Kongo)? Karibu upatiwe

Huu ni ukrasa maalum kwaajiri ya kuomba nyimbo zenye mahadhi ya kiafrika hasa za kikongo. Nitajitahidi kadri ya niwezavyo nizipost kadri zinavyoombwa. Pia bongo fleva za zamani ni mahara pake pia. Karibuni sana. Hakikisha jina la mwimbaji, bendi na jina la wimbo viko sawa.
Ukinipatia huo wimbo itapendeza
 
Mkuu kuna wimbo mmoja kaimba General Defao kwa kiswahili sijui kama kashirikishwa au yeye kashirikisha
"Kosa langu baba unihurumie, kama ni makosa .... basolinaaaa
Ameimba na mzambia aitwaye Suke chile. huu hapa chini
 

Attachments

Kuna wimbo fulani wa kisouth afrika, ni instrumental tu mwanzo mwisho. Bahati mbaya sifahamu jina la hizo beats.
Wakati fulani unatumiwa na madansa kwenye sherehe za arusi na nyingnezo
kuna instrumental za miaka ya zmani yaani mwanzoni mwa miaka ya 90 na zipo za miaka ya hivi kalibuni, sijui unamainisha zipi
 
Kuna wimbo wa siku nyingi kidogo, siujui jina lake. Uliimbwa na Manu Dibango (sijui kama nimepatia jina). Nayakumbuka baadhi ya maneno ".....Hallo hallo Africa eeee. ...."
Nimeutafuta sana, bahati mbaya sijui jina lake. Niliusikia nikiwa mdogo, hata sijaanza darasa la kwanza!
 
Huu ni ukrasa maalum kwaajiri ya kuomba nyimbo zenye mahadhi ya kiafrika hasa za kikongo. Nitajitahidi kadri ya niwezavyo nizipost kadri zinavyoombwa. Pia bongo fleva za zamani ni mahara pake pia. Karibuni sana. Hakikisha jina la mwimbaji, bendi na jina la wimbo viko sawa.
Ombi langu mimi mkuu kabla sijaomba nyimbo naomba utofautishe kati ya R na L.
 
Kuna wimbo wa siku nyingi kidogo, siujui jina lake. Uliimbwa na Manu Dibango (sijui kama nimepatia jina). Nayakumbuka baadhi ya maneno ".....Hallo hallo Africa eeee. ...."
Nimeutafuta sana, bahati mbaya sijui jina lake. Niliusikia nikiwa mdogo, hata sijaanza darasa la kwanza!
Ngoja na mimi niusubiri
 
Back
Top Bottom