Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,557
- 1,787
Za Tz sina sana congo labdaNaomba nyimbo hizi kama unazo.
Ajali wa Tuncut Alimasi, Mshenga wa Juwata Jazz, matata matata wa Vijana Jazz. Nikipata hizo kwanza nitafurahi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za Tz sina sana congo labdaNaomba nyimbo hizi kama unazo.
Ajali wa Tuncut Alimasi, Mshenga wa Juwata Jazz, matata matata wa Vijana Jazz. Nikipata hizo kwanza nitafurahi sana.
Kuna wimbo unaitwa kesi ya kanga (Monica) naomba sana unifanyie hiyo mkuu, japo mwimbaji simkumbuki vizuri, na kuna wimbo wa mzimumi family- mpiga debe (fani katika maisha) ft Q chief for first time naanza kumsika
Take this high qualityNaomba wimbo wa Zipompapompa
Naomba Tiembe rapid pa moli na moyibi ya Pepe kale
Tuncut Alimasi unaweza kuwa labdaNaomba nyimbo hizi kama unazo.
Ajali wa Tuncut Alimasi, Mshenga wa Juwata Jazz, matata matata wa Vijana Jazz. Nikipata hizo kwanza nitafurahi sana.
Thanks alotTake this high quality
mkuu nimejaribu sijata huu hata Google labda hata jina lake tuu sijaonaNatanguliza shukurani.
Naomba wimbo wa Indonation wa extra musica
Unaitwa NDAYA unaweza ushasha hapa bila wasiwasiMkuu naomba wombo wa mpongo love.. Unaitwa ngainda sijui nimepatia jina ila mwanamuziki mpongo love
Ahaa.Za Tz sina sana congo labda
Butinini ninao, ninao utafuta haupo youtube.Tuncut Alimasi unaweza kuwa labda
Post #18Mwenye wimbo wa azda wa franko luambo makiadi, msaada naomba audondoshe hapa..
Pia, kuna wimbo umeimbwa na mwanamuziki wa kikongo simfahamu?? Ila kuna sehemu anaimba...... " lusongi Kenya hamuwhele homabee..." Halafu baada ya hapa anataja miji kama vile: Dar es salaam, Kigali, na nchi kama Zimbabwe, Cameroon, Botswana nk.
Tulikuwaga tunaimba hivi: Kikuu kinanukia aaah aaaaah! Kikuuu kinanukia aaaa....huuu hapa
Ma song yote si ukanunue album tuu sasa huko amazon[emoji4]Naomba unishushie masong yote yaliyopo kwenye Album ya Wenge music,Solola Bye..