Ukinipatia huo wimbo itapendezaHuu ni ukrasa maalum kwaajiri ya kuomba nyimbo zenye mahadhi ya kiafrika hasa za kikongo. Nitajitahidi kadri ya niwezavyo nizipost kadri zinavyoombwa. Pia bongo fleva za zamani ni mahara pake pia. Karibuni sana. Hakikisha jina la mwimbaji, bendi na jina la wimbo viko sawa.
kuna instrumental za miaka ya zmani yaani mwanzoni mwa miaka ya 90 na zipo za miaka ya hivi kalibuni, sijui unamainisha zipiKuna wimbo fulani wa kisouth afrika, ni instrumental tu mwanzo mwisho. Bahati mbaya sifahamu jina la hizo beats.
Wakati fulani unatumiwa na madansa kwenye sherehe za arusi na nyingnezo
Weka za 90's mkuukuna instrumental za miaka ya zmani yaani mwanzoni mwa miaka ya 90 na zipo za miaka ya hivi kalibuni, sijui unamainisha zipi
Shukran sana mkuu, naburudika hapaAmeimba na mzambia aitwaye Suke chile. huu hapa chini
kama hii
Ombi langu mimi mkuu kabla sijaomba nyimbo naomba utofautishe kati ya R na L.Huu ni ukrasa maalum kwaajiri ya kuomba nyimbo zenye mahadhi ya kiafrika hasa za kikongo. Nitajitahidi kadri ya niwezavyo nizipost kadri zinavyoombwa. Pia bongo fleva za zamani ni mahara pake pia. Karibuni sana. Hakikisha jina la mwimbaji, bendi na jina la wimbo viko sawa.
Unaitwa azda by francoUle wimbo wa vewe vewe vewe nakolela ASA ASA Kongo ya kinsasha
Ngoja na mimi niusubiriKuna wimbo wa siku nyingi kidogo, siujui jina lake. Uliimbwa na Manu Dibango (sijui kama nimepatia jina). Nayakumbuka baadhi ya maneno ".....Hallo hallo Africa eeee. ...."
Nimeutafuta sana, bahati mbaya sijui jina lake. Niliusikia nikiwa mdogo, hata sijaanza darasa la kwanza!
Yeah mkuuau unamaanisha huu
Nenda you tube andika Mory cante, utaupata.Kuna wimbo unaitwa Yekeyeke kama skosei. Nauhitaji sana