Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes kwa hiki kizazi kipyaKWahiyo bila dawa hakuna kitu, so sad.
Umeshamvua nguo dokta wetuDawa ni Saheal
Saheal ni Tadalafil kama ilivyo kwa Viagra, Erecto n.k hizi wanaita Sildenafil Citrate
Tadalafil (Saheal) na Sildenafil (Viagra) zote zinafanya kazi moja ila zinatofautiana kwenye mda wa kukaa mwilini.
Sildenafil Citrate zinakaa masaa 4 - 8 while izo Tadalafil (Saheal) zinakaa kwa mda wa masaa 24 - 36
Kwa anaetaka matokeo ya haraka atumie Sildenafil ila kwa asie na uhakika na mda wa tendo anashauriwa kutumia Tadalafil (Saheal). Kumbuka dawa zote hizi zinafanya kazi sawa, zinatofautiana tu kwenye mda wa kukaa mwilini. Hivyo alietumia Saheal na alietumia Viagra au Erecto wote wako sawa tu na wote wanaeza experience negative effects sawa.
Upande wa bei, Sildenafil (Viagra, Erecto, Njoi, n.k) hizi zinauzwa 2,000 mpaka 3,500 kwa kidonge
Tadalafil (Saheal, Adcirca, Cialis) bei ni 8,000 mpaka 10,000 kwa kidonge
Namiliki pharmacy hivyo hizo dawa nazijua vizuri maana ndizo zinazotoka sana dukani
Kuhangaika kote huku kisa dusheHawajui hilo 🤣🤣🤣
Tena ukinawia na karafuu ndo kabisa na jotroo linaongezeka zaidi 🤸
Hahahahahahah...umetisha sanaKaka kwanza bravo kwa uandishi wako wa kisomi zaidi. Uzi umeambatana na elimu ndani yake. Zaidi sana upo Honesty kiasi unaweza mfanya mdau yeyote kushawishika kutest na asihi hatia😂😅😂.
Usije mkuu nitakula pesa yako bure hahahaMkuu nimekufuata PM🤪
Mtumishi we na hizo mambo wapi na wapii guess inaitwa Saheal ,naijua vizuri
Unahisi mpiga karate mwenye mkanda mweusi akipigana bila mkanda hawezi kupiga mateke vizuri?Nasikia huwa mnakuwaga na shoo mbovu sana siku mkipewa bila kujibust hayo madawa, yamewalemaza
Kuna jamaa walishangaa sana kukuta nyumbani kwa Dr mwaka kuna makopo ya dawa za kichina za kuongeza nguvu wakashangaa huyu si ndo anajisifu kutibia wengine.Fanya mazoez ya kegel, tengeneza chai ya viungo tu tangawizi iwe nyingi kila siku hiyo ndo dawa pekee lazima uwe monster kwenye hizo mambo
Dawa Nyingine sisemi inabaki siri yangu
Stori za kufikirikaKuna jamaa walishangaa sana kukuta nyumbani kwa Dr mwaka kuna makopo ya dawa za kichina za kuongeza nguvu wakashangaa huyu si ndo anajisifu kutibia wengine.
Soma vizur comment hii utanielewa
Wewe jifariji tuUnahisi mpiga karate mwenye mkanda mweusi akipigana bila mkanda hawezi kupiga mateke vizuri?
Hapana, haya ni maneno ya wahuni wasiojali. 😂🤣Maneno ya mkosaji hayo 🤣🤣🤣
Ulevi ni adui no 1 wa mechi mbovuKabla ya tendo nusu saa kula safari yako ndgo ya baridi kapige show au ukiwa unatafuta cha tatu kunywa nusu bia
Usishindane na kitu kila mwezi kinatoa damu, piga mzigo utakapoishia vaa suruali haraka kaendelee na majukumu ya kujenga taifa.Kila mbuzi itakula kwa urefu wa kamba yake, usi force.
Hizo dawa zina boost blood pressure utakufa siku si zako.