Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

Matokeo ya mazoezi unayaona mwezi?

Inategemea pia na mtu na mtu ila kuanzia mwezi unaanza kuona Matokeo hasa kwa ndani mfano pumzi wepesi nk Matokeo ya nje yanahitaji muda na uvumilivu
 
Hata mimi nimeridhika na kitambi changu,hata kama nimeishiwa naonekana niko na pesa.
Hata kama natembea kwa miguu naonekana niko na gari ila nimeamua tu kufanya mazoezi.

Endelea kujifariji mkuu na ujinga wako
 
Yaap!!!, Kitambi kina heshima yake bhana.
kwa mfano mkienda sehemu ya huduma watu wawili mwenye kitambi na mwingine flat lazima ataanza kuhudumiwa mwenye kitambi na aliye flat atafuata baadae.
Utakuta wahudumu wanakuita kwa unyenyekevu"Karibu Boss,tunaomba tukuhudumie" sasa hii favour ndio inayonifanya niache kujichosha au kujishindisha na njaa kwa ajili ya kukiondoa kitambi.
 
kwa mfano mkienda sehemu ya huduma watu wawili mwenye kitambi na mwingine flat lazima ataanza kuhudumiwa mwenye kitambi na aliye flat atafuata baadae.
Utakuta wahudumu wanakuita kwa unyenyekevu"Karibu Boss,tunaomba tukuhudumie" sasa hii favour ndio inayonifanya niache kujichosha au kujishindisha na njaa kwa ajili ya kukiondoa kitambi.
Umeona eenhh???, Kitambi ndo hbr ya mjini.
 
kwa mfano mkienda sehemu ya huduma watu wawili mwenye kitambi na mwingine flat lazima ataanza kuhudumiwa mwenye kitambi na aliye flat atafuata baadae.
Utakuta wahudumu wanakuita kwa unyenyekevu"Karibu Boss,tunaomba tukuhudumie" sasa hii favour ndio inayonifanya niache kujichosha au kujishindisha na njaa kwa ajili ya kukiondoa kitambi.
Na sisi wanawake wenye vitambi tutapewa kipaumbele???
 
Kwa mujibu wa wataalamu kupunguza unene kunachangiwa na:-
1. Aina ya lishe(diet)-50%
2. Mazoezi - 30%
3. Kupumzika - 20%

Kupunguza kiwango cha wanga na mafuta mengi kwenye diet. Jikite kula mboga mboga, matunda, nuts, Jamii ya mikunde na kunywa maji ya kutosha. So vyema kabisa kuacha kula wanga usije kuokosesha kabisa mwili nguvu na kuanza kupata kizunguzungu.
 
nimeipata hii hapaaa,,,,

1

MONDAY

Breakfast: 2 boiled eggs and 1 citric fruit too.
Lunch: 2 slices whole meal bread and some fruit.
Dinner: big serving salad and chicken.

TUESDAY

Breakfast: 1 citric fruit and also 2 eggs boiled.
Lunch: salad of green veggies and chicken.
Dinner: veggie salad, 1 orange and 2 boiled eggs.

WEDNESDAY

Breakfast: 1 citrus fruit and again, 2 boiled eggs.
Lunch: low fat cheese, 1 tomato and 1 slice whole meal bread type.
Dinner: salad and chicken.

THURSDAY

Breakfast: 2 eggs, boiled, and 1 citric fruit.
Lunch: fruit.
Dinner: salad and steamed chicken.

FRIDAY

Breakfast: as the day before.
Lunch: steamed veggies and 2 eggs.
Dinner: salad and barbeque or fish.

SATURDAY

Breakfast: as the day before.
Lunch: fruit.
Dinner: steamed chicken and veggies.

SUNDAY

Breakfast: 1 citric fruit and 2 eggs boiled.
Lunch: tomato salad, steamed veggies and chicken.
Dinner: steamed veggies.

Week 2

MONDAY

Breakfast: 2 eggs + citric fruit.
Lunch: salad + chicken.
Dinner: 1 orange, salad and 2 eggs

TUESDAY

Breakfast: as the day before.
Lunch: 2 eggs + steamed veggies.
Dinner: salad, fish or barbeque.

WEDNESDAY

Breakfast: as the day before.
Lunch: salad + chicken.
Dinner: 1 orange + veggie salad + 2 eggs.

THURSDAY

Breakfast: as the day before.
Lunch: steamed veggies + low fat cheese + 2 eggs.
Dinner: salad + steamed chicken

FRIDAY

Breakfast: as the day before.
Lunch: tuna salad.
Dinner: salad + 2 eggs

SATURDAY

Breakfast: as the day before.
Lunch: salad and chicken too.
Dinner: fruit.

SUNDAY

Breakfast: as so far again.
Lunch: steamed veggies + steamed chicken.
Dinner: as the lunch.
You see that this diet has no carbs almost and that is why you need doctor consult before starting it. The menu is repetitive and simple. And for even better results, include workouts at least half an hour per day.



salads angalia zile mbogamboga za kuchoma mafuta na protein nyigi(braccoli,apple,,parachichi ect) whole grain ni mkate wa brown.....sijui atta....hizo citrus fruit ni malimao ,,machungwa,,,matunda makakasi......ukichoka mkate kunywa na yogat plain low fat......ukiongezea na maoez kidogo unapata majubu mazuri zaidi....kwa wenye magonywa wawaone daktari kwa maelekezo kabla kuanza,,,,yai ni zuri sana kwa sababu inapunguza njaa na inavitamin hasa protin rahisi na low colestrol.....mtupe mrejesho
Mmmh mpangilio wa kuandaa hivi vitu ni ngumu, mchana kazini inakuwaje? Kweli kutengeneza mwili ni gharama na muda juu.
 
Back
Top Bottom