Digging deeper
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 787
- 512
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipigwa ban aummh wewe acha tu mengine tunamezea kimya kimya tunakuwa wapole tu ngoja friday ipite kidogo
nafuu ya ban ndugu yangu acha majanga makubwa tulia basi au na wewe ni mods nini hahaaaaaUlipigwa ban au
hahhaaaaaaaaaaaa angalia kule kwenye member online utaona viongozi wamekaa wapo ndo utajua kuwa huyo ni mod hapaHuyo ni mod kumbe😂😂😂😂😂😂sema kuna mtu ka mtag lakini mkuu unaogopa nini kuchangia mods zi wana dili na watu wanaotukana
Ni kweli,asee ni mtu mmoja poa sana sana,kuna watu MUNGU kawajaalia mioyo safi[emoji7]Wapo watu sahihi sema ni tabia ya mtu tu ndo anaweza kafanya umbea
Kenzy kuna kitu anakutafutaWivuu Dina[emoji8]wangu[emoji38]
[emoji16]asee,wanafanyaje hao wadada?To be honest, humu kuna watu mafuta but nawashauri wanaume wenzangu waepuke wadada waliokaa kimjinimjini, hapa aimaanishi mjini as mjini but ni wale makuruhu flani hivi.
Kumbe anatuchora tu tunavyojiachia😂😂😂😂😂😂😂😂😂mods kapenda uzi wangu🙌hahhaaaaaaaaaaaa angalia kule kwenye member online utaona viongozi wamekaa wapo ndo utajua kuwa huyo ni mod hapa
Ndio mkuu wapo watu kama hao ukiwapata mshukuru Mungu wengi watu now awapendi mafanikio ya watuNi kweli,asee ni mtu mmoja poa sana sana,kuna watu MUNGU kawajaalia mioyo safi[emoji7]
Pole sana kwa yaliyokusibu mkuu mimi sio mods mkuu😂😂😂😂😂nafuu ya ban ndugu yangu acha majanga makubwa tulia basi au na wewe ni mods nini hahaaaaa
List yako Ikwapi we' Mzee?Senji wewe[emoji28]
Pole,inaelekea yalikusibu makubwa ladynafuu ya ban ndugu yangu acha majanga makubwa tulia basi au na wewe ni mods nini hahaaaaa
AseeNdio mkuu wapo watu kama hao ukiwapata mshukuru Mungu wengi watu now awapendi mafanikio ya watu
List of shame sio?List yako Ikwapi we' Mzee?
Nimetosheka no more blablaSenji wewe[emoji28]
@Heaven SentHabari wana MMU je, wewe mwanaume wa JF ni mwanamke gani wa JF ungependa kukutana naye hivyo hivyo kwa mwanamke ni mwanaume gani wa JF ungetamani kukutana naye.
Ndiyo.. Iweke..List of shame sio?
Mbona unaji'quote?Nimetosheka no more blabla
Mnatosha wewe na wifi yakoNdiyo.. Iweke..