Unatamani kukutana na mwanamke gani wa JF?

Unatamani kukutana na mwanamke gani wa JF?

Ubaya upo sana, ikitokea bahati mbaya mkatofautiana unafunguliwa uzi.
Kuna binti aliomba nimpe msaada alikuwa anauguza ndg yake, bshati mbaya nami nilikuwa na changamoti zingine nilifunguliwa uzi na kuharibiwa jina kabisa kwa vitu vya uongo...jf ni hatari sana
Duu pole kwa yaliyokusibu kuna watu ni tabia zao ni za asili
 
Ubaya upo sana, ikitokea bahati mbaya mkatofautiana unafunguliwa uzi.
Kuna binti aliomba nimpe msaada alikuwa anauguza ndg yake, bshati mbaya nami nilikuwa na changamoti zingine nilifunguliwa uzi na kuharibiwa jina kabisa kwa vitu vya uongo...jf ni hatari sana
Duh
Nina rafiki humu,tokea 2017....kasafiri masafa kaja hadi kwetu

vile nilimkoseaga,angekuwa ni mtu mwingine angekuja nifungulia uzi

Ni mtu mmoja hivi wa kipekee sana[emoji120]
 
Back
Top Bottom