Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazijua njuguu mawe kavu wewe?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asubuhi hii mrembo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unapika
La kawaida mbona,....japo raia kulitamka ni shida[emoji16]Jina lako la kiarabu kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23] labda yeye mwenyewe ndio mwanamkeKwani ni mwanamke? [emoji3][emoji3][emoji3]
Kwani unamfahamu? Umejuaje kama ni ke [emoji1787][emoji1787] au ile picha yake ya Oprah hahahhaahhaSky Eclat huyu mdada mm daaaaaah, nampenda karibia kufa ila hajui tu. Huwa nachukia nikimwona anashabikia chadema, ila ukiondoa hilo nampenda sana
Haya maisha ya wasi wasi ni magumu Sana. Nimejaribu nikasema hell noNa hawa watu wasiojulikana sisi tunaoandika kule siasani ni lazima tuwe extra careful au unaweza kutekwa mchana kweupe usionekane tena. Kuna wakati huwa namshukuru Mwenyezi Mungu kuna watu humu ilikuwa karibu niwafahamu kwa karibu lakini chale ZIKACHEZA!!!
Natamani nikuone unafananaje.Ila OP hajaulizia maoni , The Monk.
Ametaka tu umtaje jina unayetamani. Nitaje basi. Thank you in advance.
Huu uzi umetoa nyoka pangoni, hivi upo?Paw
Hivi yupo kweli….
hapana si zijui hizo ni zipi hizo mrembo?😂😂😂😂😂😂Unazijua njuguu mawe kavu wewe?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamii ya kunde sura yake kama mawe ya jangwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana si zijui hizo ni zipi hizo mrembo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahahahahha wengine wapo buza mkuuMatajiri wa jf,mimi nasoma tu comments.
ko ndo unaandaa mapema😂😂😂😂😂😂😂zi wai kuiva mrembo?Jamii ya kunde sura yake kama mawe ya jangwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaanza kuzichemsha saa tisa ucku mpaka saa saba itakua tyrko ndo unaandaa mapema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]zi wai kuiva mrembo?
duu😂😂😂😂😂😂😂kweli ayo mrembo au unafurahisha genge tuUnaanza kuzichemsha saa tisa ucku mpaka saa saba itakua tyr