RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Maisha yenyewe tunaigiza tukutane ili iweje? Mpate thread mpya?!!Hakuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yenyewe tunaigiza tukutane ili iweje? Mpate thread mpya?!!Hakuna
Ehhhh?Kukagua chura
Ila OP hajaulizia maoni , The Monk.JF tunakutana online, mambo ya kutamaniana kukutana yanatoka wapi tena? Mkutane kwenda wapi?
Kwani hawa watu tuko nao mtaani si ndio hawa hawa wa JF, au wenyewe wametokea sayari nyingine?
Demiss na Mzigua BabyHakuna
Kuna msemo mmoja usema "There are no girls on the internet ". kupitia post yako naendelea kuamini. LolHapana bwashee, kwa taarifa yako jf hakunaga wanawake kama huamini njoo Ijumaa kwenye hafla ya kuzawadia washindi wa story of Change utakutana na wajuba tupo dadeki 😂
@ExtrovertHabari wana MMU je, wewe mwanaume wa JF ni mwanamke gani wa JF ungependa kukutana naye hivyo hivyo kwa mwanamke ni mwanaume gani wa JF ungetamani kukutana naye.
Ila OP hajaulizia maoni , The Monk.
Ametaka tu umtaje jina unayetamani. Nitaje basi. Thank you in advance.
AnkoLengo la kukutana ni lipi?
Noted. I will look for you and I will find you, considering that "It couldn't be better " so so much.As far as OP is concerned...You know where to find The Monk
Ndiyo hivyo mkuuKuna msemo mmoja usema "There are no girls on the internet ". kupitia post yako naendelea kuamini. Lol
Noted. I will look for you and I will find you, considering that "It couldn't be better " so so much.
Am hereAbrianna
Kwani ni mwanamke? 😀😀😀@Extrovert