Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan humu nna nyumba tatu na magari manne tukutane huoni hata kimoja πππMaisha yenyewe tunaigiza tukutane ili iweje? Mpate thread mpya?!!
Mshana ni kaka angu jamaniShemu tulia Kaka aje hakuna tatizo..π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan humu nna nyumba tatu na magari manne tukutane huoni hata kimoja [emoji23][emoji23][emoji23]
kuna ubaya gani kukutana na mtu wa jfπππIli iwe je?
Sitaki yeyote
kujuana zaidi pia kushare mawazo ana kwa anaLengo la kukutana ni lipi?
kweli mkuu umelenga mule mule mwa madaππππ€Ila OP hajaulizia maoni , The Monk.
Ametaka tu umtaje jina unayetamani. Nitaje basi. Thank you in advance.
kitu poa sanaππππππbia tamuππΊ
Milima haikutani,binadamu wanakutana.This way inatosha...though deep down I wish awe Saint Anne
duuππππππHakuna
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Yaan humu nna nyumba tatu na magari manne tukutane huoni hata kimoja [emoji23][emoji23][emoji23]
ππππππ€This way inatosha...though deep down I wish awe Saint Anne
waoohπππππAbrianna
huyu mkuu huwa ananifurahisha sana emoji zake za kucheckaππππ@Extrovert
Chugastan mkuu, but ulsema huku ni mbaaali....itabd mie nije mjin [emoji52]Milima haikutani,binadamu wanakutana.
Uko wapi?
Tunaonana mkuu[emoji120][emoji120]
mkuu huku atutumii picha zetu halisi tofuti za social network zengine ko mkikutana inakuwa poa sanaJF tunakutana online, mambo ya kutamaniana kukutana yanatoka wapi tena? Mkutane kwenda wapi?
Kwani hawa watu tuko nao mtaani si ndio hawa hawa wa JF, au wenyewe wametokea sayari nyingine?
Yaan humu nna nyumba tatu na magari manne tukutane huoni hata kimoja πππ