Unatamani kukutana na mwanamke gani wa JF?

Unatamani kukutana na mwanamke gani wa JF?

Watu wanakutana Mkuu na huwa ni furaha ya aina yake. Wengine humu ni vingunge wakubwa sana lakini ukisoma wanayoyaandika huwezi kudhani wana nyadhifa kubwa hivyo.
ndio mkuu yani inakuwa faraja sana na ukifikilia id ya mtu anavyo comment kisha ukamjua 😂😂😂😂😂 live inafurahisha sana
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Watu wengi wanaogopa kufichua utambulisho wao
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Endelea kutamani kukutana wakati wenzako wanataka kukutana nao na wanakutana.

If wishes were horses, beggars would ride.
Doh!! Ww jamaa kila uzi lazima u reply kipondo.
Don be so serious joh!.
Mengne n just for funny tu maisha yaendelee.
 
Vile nitaringa na kujivunia siku nikikutana na Ankali😍😍😍
1634061349_1634061349-picsay.jpg
 
Back
Top Bottom