BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Mambo mengine inabidi ucheke tu japo magumu. Sawa mkuu hongera kwa kuwa na uwezo wa kuona yaliyo ndani ya vichwa vya watu.Kwanza soma post yake vizuri, anataka mkutane sehemu iliyotulia mkiwa wawili tu, wewe unadhanj ana malengo gani huyu, halafu kwanza msituzuge, jinsia tofauti wanaotamani kuonana wana mpango wa kupigana miti tu, hata kama mtazuga eti mnafundishana kufuga kuku..
Kwa hiyo mkuu BUSH jana ulilala leo ndio umeniamkia eti?Mambo mengine inabidi ucheke tu japo magumu. Sawa mkuu hongera kwa kuwa na uwezo wa kuona yaliyo ndani ya vichwa vya watu.
Tuonane pale kwa mangiUshantamanisha kuonana, tuonane wapi sasa....
Tutaonana[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Tuombe uzima. One day yes..
Nipo Mwanza
Basi sawa, tukutane hata kesho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaaa kwahiyo umeona unitangaze kwa watu kuwa na mimi ni mnywaji? Ujue kuna watu wananiona decent sana humu ndani wasije wakapata mshituko ukanichafulia jina! [emoji3][emoji3] [emoji16][emoji16]
Haha ananiulia brand huyu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nimeshapata kesi hapo kuhusu BIN LADEN na Anne, nikaambiwa kuwa nina mawazo hasi, basi naomba niulize kwanza, mnataka muonane ili mfanyeje?Shunie
Kwa hatua hii kubwa na njema mliyofikia ya mawasiliano napendekeza yahamie PM itapendeza sana.Unaanza kuzichemsha saa tisa ucku mpaka saa saba itakua tyr
There is a greater human geing in her.Reason behind, you usualy use logic in expressing your points rather than emotions. Thats makes you different from the rest.
Kwa hatua hii kubwa na njema mliyofikia ya mawasiliano napendekeza yahamie PM itapendeza sana.Unaanza kuzichemsha saa tisa ucku mpaka saa saba itakua tyr
Flattered imenipeleka kwenye dictionary.Wow, thank you for this compliment, i am flattered🙏
Abrianna atafutiwe tuzo. Anaonekana kuwagusa wengi katika mtazamo chanya.Binafsi namuadmire Abrianna kwa mengi, anaonekana ni mtu ambae akili imetulia sana tofauti na members wengi
Mwingine ninaetamani kumuona ni Evelyn Salt kwa sababu anaonekana akili yake inaenda resi sana, in fact haboi yaani unaweza kucheka mwanzo mwisho
Hii offer bado active mkuu?Yeyote ambae yupo free tuonane, mi nipo free sahivi
Yamekua hayo,? [emoji849][emoji849][emoji1787]Kwa hatua hii kubwa na njema mliyofikia ya mawasiliano napendekeza yahamie PM itapendeza sana.
Nakala: anayejibiwa kwa utekelezaji wa haraka.
Flattered imenipeleka kwenye dictionary.
Ipo bado, nipo free sahivi uko wapi nijeHii offer bado active mkuu?
Trust me. Hamtojuta mkuu.Yamekua hayo,? [emoji849][emoji849][emoji1787]
Nipo Kapitali (Capital City) Una sound kama uko kwa Makala. It's kind of mission impossible Mkuu.Ipo bado, nipo free sahivi uko wapi nije
Mwenyekiti kila nikikuona eti nakumbuka co-parents 10 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ipo bado, nipo free sahivi uko wapi nije