Natania mwaya siwezi fanya kazi hiyo kwani hizo njuguu mawe zina maajabu GANI haswaa si nile tembele[emoji23][emoji23]duu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli ayo mrembo au unafurahisha genge tu
kwa nini mbona ni nzuri tu mrembo au unapenda vitu laini lainiπππππNatania mwaya siwezi fanya kazi hiyo kwani hizo njuguu mawe zina maajabu GANI haswaa si nile tembele[emoji23][emoji23]
mmh sidhani kama kuna watu wa aina hiyo humu jflakini wapo watu wana mahusiano mpaka leo wamekuana jf
Duu pole kwa yaliyokusibu kuna watu ni tabia zao ni za asiliUbaya upo sana, ikitokea bahati mbaya mkatofautiana unafunguliwa uzi.
Kuna binti aliomba nimpe msaada alikuwa anauguza ndg yake, bshati mbaya nami nilikuwa na changamoti zingine nilifunguliwa uzi na kuharibiwa jina kabisa kwa vitu vya uongo...jf ni hatari sana
Wapo mkuu ngoja waje walete ushaidimmh sidhani kama kuna watu wa aina hiyo humu jf
wangefunguka ingekuwa vyemaWapo mkuu ngoja waje walete ushaidi
Ndio mkuu itapendeza zaidi wakifanya hivyowangefunguka ingekuwa vyema
kwani wewe unawajua ati?Ndio mkuu itapendeza zaidi wakifanya hivyo
DuhUbaya upo sana, ikitokea bahati mbaya mkatofautiana unafunguliwa uzi.
Kuna binti aliomba nimpe msaada alikuwa anauguza ndg yake, bshati mbaya nami nilikuwa na changamoti zingine nilifunguliwa uzi na kuharibiwa jina kabisa kwa vitu vya uongo...jf ni hatari sana
Wivuu Dina[emoji8]wangu[emoji38]Jamen mshana anahusiana na nin hapa
baadhi sema ni vizuri wakasibitisha waokwani wewe unawajua ati?
Wapo watu sahihi sema ni tabia ya mtu tu ndo anaweza kafanya umbeaDuh
Nina rafiki humu,tokea 2017....kasafiri masafa kaja hadi kwetu
vile nilimkoseaga,angekuwa ni mtu mwingine angekuja nifungulia uzi
Ni mtu mmoja hivi wa kipekee sana[emoji120]
Kwani dhambi kuwa na urafiki na mtuKuna wengine ni wake za watu! Unataka ukautane nao ili iweje?
Kimekukuta ki nini mkuuπππππkumbe humu hadi ma-mods wanachangia duuuuu ngoja niwe mpole hahaaaaaaa
mmh wewe acha tu mengine tunamezea kimya kimya tunakuwa wapole tu ngoja friday ipite kidogoKimekukuta ki nini mkuuπππππ