Unatamani kukutana na mwanamke gani wa JF?

Natania mwaya siwezi fanya kazi hiyo kwani hizo njuguu mawe zina maajabu GANI haswaa si nile tembele[emoji23][emoji23]
kwa nini mbona ni nzuri tu mrembo au unapenda vitu laini lainiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Duu pole kwa yaliyokusibu kuna watu ni tabia zao ni za asili
 
Duh
Nina rafiki humu,tokea 2017....kasafiri masafa kaja hadi kwetu

vile nilimkoseaga,angekuwa ni mtu mwingine angekuja nifungulia uzi

Ni mtu mmoja hivi wa kipekee sana[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…