babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,187
Akuuu [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]Trust me. Hamtojuta mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akuuu [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]Trust me. Hamtojuta mkuu.
Yani ndio ujikute umezaa na watu tofauti sasa, utakua hauhitaji mpenzi tena 😂😂😂 co-parenting itakukeep busy...haya mambo haya 😂😂😂Mwenyekiti kila nikikuona eti nakumbuka co-parents 10 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shauri yako. Fursa haziji mara mbili. Enjoy life while you can. Usiseme sikukwambia.Akuuu [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Hamna shida, mi nakuja hata na lori la mahindi ilimradi kuonana.Nipo Kapitali (Capital City) Una sound kama uko kwa Makala. It's kind of mission impossible Mkuu.
Hawa UWABATA siwataki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji57]Shauri yako. Fursa haziji mara mbili. Enjoy life while you can. Usiseme sikukwambia.
Fanya hivyo Mkuu.Hamna shida, mi nakuja hata na lori la mahindi ilimradi kuonana.
UWABATA ndio wapi tena?Hawa UWABATA siwataki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji57]
Wanajijua wenyewe wanachama chao kinaitwa UWABATA eti yaani Umoja wa WANAUME BAHILI TANZANIA [emoji57][emoji1787]UWABATA ndio wapi tena?
Nakujua dada ukipenda sina ugeni na wewe msalimie dr popote alipo ukimuona
Vyama vimekuwa vingi. Serikali iingilie kati.Wanajijua wenyewe wanachama chao kinaitwa UWABATA eti yaani Umoja wa WANAUME BAHILI TANZANIA [emoji57][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]waache WANAUME watete haki zaoVyama vimekuwa vingi. Serikali iingilie kati.
Yani ndio ujikute umezaa na watu tofauti sasa, utakua hauhitaji mpenzi tena [emoji23][emoji23][emoji23] co-parenting itakukeep busy...haya mambo haya [emoji23][emoji23][emoji23]
She is very positive with great personality, ukifuatilia comments zake nyingi utagundua kwamba ni mtu wa kipekee sana,Abrianna atafutiwe tuzo. Anaonekana kuwagusa wengi katika mtazamo chanya.
Nakusubiri kwa mangi eveHamna shida, mi nakuja hata na lori la mahindi ilimradi kuonana.
Vyama vimekuwa vingi. Serikali iingilie kati.Wanajijua wenyewe wanachama chao kinaitwa UWABATA eti yaani Umoja wa WANAUME BAHILI TANZANIA![]()
![]()
mtupeleke taratibu. Wote ni wanufaika wa hiyo michakato.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]waache WANAUME watete haki zao
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] akuuuuuVyama vimekuwa vingi. Serikali iingilie kati.
mtupeleke taratibu. Wote ni wanufaika wa hiyo michakato.
Ili iwe je?
Sitaki yeyote
😂 kwani mlikutana sababu ya mnyanduano mkuu? Noma sana day 1 na mnyanduano 😜nime kutana nae Juzi kati,
HANA HATA MVUTO.....!!!
na mashine ikalala fyuuuu
Kwakweli andiko linamuhusu😂Aisee, wanyakyusa tunakuandikia tamko letu huku[emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app