Unatambua nini kuhusu hizi picha mbili za Rais Putin?

Unatambua nini kuhusu hizi picha mbili za Rais Putin?

Wanajipa Moyo eti Putin anawapenda watu weusi....Ni Upuuzi
Hamna lolote, si hao ndio wanasemaga kwamba waafrika ni manyani. Umewahi kuona wachezaji weusi wanavyo kejeliwa wanapocheza mpira Russia.
 
Paka ni mwepesi kama unywele kwa Putin.
Nakuhakikishia ma fsb wakitaka wanaweza wakamuona akiingia mlangoni akiwa uchi wa nyama wakati akiwa amevaa nguo.
Actually huwa wanaona skeleton na vifaa vya chuma alivyobeba mtu, japo hawana njia ya kuona biological weapons alizobeba mtu, ambazo mbebaji anaweza kuwa immune nazo! 😅
 
Back
Top Bottom