Unatambua nini kuhusu hizi picha mbili za Rais Putin?

Unatambua nini kuhusu hizi picha mbili za Rais Putin?

Putin the Godfather of the World
Hapo ukute huyo rais wa AU ameenda kuomba msaada dhidi ya uharamia wa Ufaransa na Francophone uko katika makoroni yake ya zamani Afrika ya Magharibi
Huo ndio uhalisia

kwny operation ya Russia ndani ya Uraine kuna maslahi mengi sana ndani yake


ushawishi wa Ufaransa huko Africa Magharibi unapungua daily kutokana na kuongezeka ushawishi wa Russia eneo hilo …Russia imepeleka intelijensia yake ambayo inafanikisha kusambaratisha Jamaa wa IS ambao wanatumiwa na France kuimarisha maslahi yake huko West Africa

hata Mapinduzi ya hivi karibuni huko Ufaransa inaishutumu sana Russia na baadhi ya maeneo Raia walitoka na bendera za Russia kushangilia mapinduzi


biashara za mbolea na ngano kutoka Russia zilikuwa zikifanywa na makampuni ya Magharibi lakini sasa Russia inafanya biashara moja kwa moja na Makampuni ya huko Senegal, Cameroon na maeneo mengine

Russia inakabiliana na Ukoloni mambo leo wa wazungu kwa njia za kisasa
 
Huo ndio uhalisia

kwny operation ya Russia ndani ya Uraine kuna maslahi mengi sana ndani yake


ushawishi wa Ufaransa huko Africa Magharibi unapungua daily kutokana na kuongezeka ushawishi wa Russia eneo hilo …Russia imepeleka intelijensia yake ambayo inafanikisha kusambaratisha Jamaa wa IS ambao wanatumiwa na France kuimarisha maslahi yake huko West Africa

hata Mapinduzi ya hivi karibuni huko Ufaransa inaishutumu sana Russia na baadhi ya maeneo Raia walitoka na bendera za Russia kushangilia mapinduzi


biashara za mbolea na ngano kutoka Russia zilikuwa zikifanywa na makampuni ya Magharibi lakini sasa Russia inafanya biashara moja kwa moja na Makampuni ya huko Senegal, Cameroon na maeneo mengine

Russia inakabiliana na Ukoloni mambo leo wa wazungu kwa njia za kisasa
Nimeupenda uchambuzi wako

Kuna ile ya nchi ya Kameruni kuomba ushirikiano na Urussi katika maswala ya kiulinzi
 
Putin ana imani na waafrika.
... sio wote! ... hebu na PaKa ajaribu kama hatawekwa mita mia kutoka kwa Putin na kuongea kwa mike! 😅😅😅
1654336562172.png
 
Na
Sasa akili ndogo kama hii inamuita Putin kunguru! Jf kuna maajabu sana!
Na ulivyo na akili kubwa umeshindwa hata kuelewa kwa Nini nimemuuita Putin kunguru...akili yako kubwa ilivyosoma tu neno kunguru ikamuona kunguru wa Zanzibar sijui wale wa bara na lile doa lake. hivi hicho kichwa chako Ni pambo ama?tumia ubongo wewe acha kukurupuka
 
Na

Na ulivyo na akili kubwa umeshindwa hata kuelewa kwa Nini nimemuuita Putin kunguru...akili yako kubwa ilivyosoma tu neno kunguru ikamuona kunguru wa Zanzibar sijui wale wa bara na lile lake hivi Hilo kichwa chako Ni pambo ama?tumia ubongo wewe acha kukurupuka
Keep your struggle elsewhere.
 
Back
Top Bottom