Unatapanya hela na hali ya watoto wa masikini iko hivi mashuleni!

Unatapanya hela na hali ya watoto wa masikini iko hivi mashuleni!

View attachment 3079841
Lakini hii👆 inaonyesha ni Tanzania Watoto kusomea chini yaa Mwembe.
hawa watoto sidhani kama wanatoka familia masikini, wote wana uniform tena mpya, wote wana viatu kasoro mmoja ana yeboyebo na kawekwa mbele makusudi kutimiza lengo la mpiga picha, na haiwezekani shule ikawa na madarasa mawili tu, haiwezi kuruhusiwa kudahiri wanafunzi, hii picha ilipigwa kwa nia ovu tu, na kwa aina ya uniform sio tanzania, uniform zetu ni shati jeupe na skert na sio gauni
 
yaani we acha tu mtu anachukua habari za kilifi kenya anatuletea hapa halafu anashupaza shingo ka degedege, au ndo zinatafutwa picha za kumpelekea balozi wa us,
Mzungu alipata urahisi wa kututawala kwa sababu miongoni mwetu walikuwepo tangu enzi hizo watu wasioona taabu kuwageuka viongozi wetu. Alikuta sisi sio wamoja ikawa rahisi kwake kupenyeza mbinu za kututawala.

Mzungu alikuta nchi zetu za afrika zina roho ya umamluki na akapita humo humo kwenye ujinga wetu.
 
Back
Top Bottom