ngoshabunda
Senior Member
- Jul 12, 2015
- 122
- 178
Mwanaume ni kutoaboxer za buku 3 vest na saa za kimachinga ila wewe feb 14 unategemewa utoe iphone 15
Eeh akipiga hivyo na suruali zake anatokelezeaPamoja na mashati meupe aina ya TOMATO 😎
Akijenga hapo nitajua kweli si mpita njia😁😀😀, hapo inahitajika roho ya ujasili, Labda kama ni mke wako
😂 na soksi mtuongezee kwa mbaaaliBasi tutaongezea na vivest msilie sana🤣
Inayo nafasi muhimi,ila sii kupeana uwendawazimuKATAA NDOA, HONGA KWA SANA. 😀😀
Tutatoa mbegu nyingi tu next year, get your nanis ready for sho😂Mwanaume ni kutoa