kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Mimba ni zawadi kweli! Mmepeana, yeye kakupa kwa upendo nawe ukampa mbegu kwa upendo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bandika bandua inatakiwa mwanamke anazaa haraka haraka kisha anatulia😀, mwakani wajukuu watakua wengi, safi kabisa, taifa lizidi ongezeka kwa idadi.
Mambo ya wazungu hayo achana nayo kama una uhakika wa chakula na mahitaji mengine muhimu we piga mimba tu.😄😄,Mkuu, Hakuna family planning,
Kuna wametumia hayo mafamily planning leo wanahaha kutafuta watoto wanaishiwa kuchapwa na mtoto hola, mganga anasema akiingiza rungu alililopaka dawa anasokomeza kwenye kizazi basi kizazi kitapokea mimba 😂😂😂😄😄,Mkuu, Hakuna family planning,
😄😄, kuna ka ukweli hapa mkuu,, kila msela ataenda kwa gear ya "Mi nauwezo wa kukupa mimba" na waganga wa kienyeji hupeleka sana mioto kwa waschana wa namna hiyo.Kuna wametumia hayo mafamily planning leo wanahaha kutafuta watoto wanaishiwa kuchapwa na mtoto hola, mganga anasema akiingiza rungu alililopaka dawa anasokomeza kwenye kizazi basi kizazi kitapokea mimba 😂😂😂
Toto ya muzungu 😁Nipo nabuni mapya nilimpa k au kuongeza ujanja
.. hii kila mwaka na sichoki. Mengine ya vitu ziada muda wowote
Mademu wengi wamemegwa na waganga wa kienyeji kiboya kumbe alikuwa history yake alikuwa anatumia dawa za family planning umefika wakati anataka mtoto mambo yanakuwa magumu😄😄, kuna ka ukweli hapa mkuu,, kila msela ataenda kwa gear ya "Mi nauwezo wa kukupa mimba" na waganga wa kienyeji hupeleka sana mioto kwa waschana wa namna hiyo.
Toto ya muzungu 😁
Aaah nimesema tuu sija maanisha 😄😉Hao hapa aiseeeeee sikuvutiwa nao kabisaaaaa 🤣🤣🤣🤣
Mambo ya mbantu wangu tu.. Mtanganyika halisi.
Kabisa mkuu, Family planning ni mbaya sana, ila hawa Dada zetu, hata usemaje huwa hawasikii kabisa kuhusu hilo.Mademu wengi wamemegwa na waganga wa kienyeji kiboya kumbe alikuwa history yake alikuwa anatumia dawa za family planning umefika wakati anataka mtoto mambo yanakuwa magumu
Eti Maghayo hata huko denmark wajawazito wanalamba udongo kama huku😁😀, ivi hii tabia ya wajawazito kula udongo ni Dunia zima, au ni Africa tu 🤔
Wakifika kwenye fainali ya kudaka mimba ndio balaa lonapoanzia kuanza kusaka mchawi na kuzunguka kwa waganga wa jadiKabisa mkuu, Family planning ni mbaya sana, ila hawa Dada zetu, hata usemaje huwa hawasikii kabisa kuhusu hilo.
Hata ya kwako ni ngumu kiongozi 😁 kwani kuna tatz eti cocochanelraraa reree , cocochanel , mbona code yenu ngumu sana kuing'amua ⚠️⚠️
Dah, ngoja nitulie, nisije onekana nina kiherehere bure 🤐Hata ya kwako ni ngumu kiongozi 😁 kwani kuna tatz eti cocochanel
Nampa dyudyu na mpaka asemeeeTayari January inakaribia, Unampa nini rafiki yako wa kike/kiume, mwezi huu wa kwanza ili ajisikie kuwa anachumbiana na mtu anayempenda, na pia ajisikie muhimu na maalum kwako, utampa nini? Ni pesa taslimu au zawadi?
View attachment 2855298View attachment 2855300