ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Na nyie Simba chezeni boli la kueleweka mtumiwe kwenye Siasa..!Yanga inatumika kisiasa sana
Mnacheza vibaya halafu wivu tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nyie Simba chezeni boli la kueleweka mtumiwe kwenye Siasa..!Yanga inatumika kisiasa sana
Mwingine huyu huku !! Analipwa sh. 300,000/= halafu anaichangia Yanga 80,000/*= kila mara wakati wanae wanaenda shule bila viatu !!This is misuse of public fund aisee. Hivi kabisa unakua uko sawa kiakili unatoa mil 50 unaipa timu wakati kuna watoto huko hawana vyoo? Nani anamshauri Rais ujinga huu? Hivi anafanya hivi akiwa amelenga impact yake nini? Yani nchi hii ambayo wamama wajawazito wanajifungulia chini hakuna vitanda, hospital hazina dawa, kuna maeneo hayajafikiwa na maji alaf unatoa millions of money unampa Ghalib na Mohamed Dewj.
Hivi mbona hili hata halihitaji degree kujua kama kinachofanyika ni utopolo? Hivi anajisikiaje mtanzania ambaye serikali yake imefuta toto afya card et kuna mtu akifunga goli anapata mil 10.
Wakati nafanya research yangu nilifanya Newala DC aisee yani unakuta idara karibu zote ndani ya Halmashauri hakuna hata moja yenye gari. Yani unakuta afisa elimu hana gari, anaendaje ndani huko? Afisa mifugo wqla afisa kilimo hakuna mwenye gari. Sasa unajiuliza hao wakulima wanafikiwaje? Mara paap unasikia et leo katoa Mil 30 kuipa Yanga. Dah hii nchi kuna mahali tilimkosea Mungu ameamua kutupa adhabu kwa kutuletea huyu mama
Huyu mama nchi imemshinda aisee. Sijui nani alimpendekeza awe makamu wa Rais. Ametuletea shida zote hizi
Eeh ndo hizo hizo ambazk Azizi Ki akipewa anampelekea mobeto😊.Mm nachotaka kujua hizi pesa ni hizi hizi nazolipa Kodi Mimi au zinatoka kwenye mfuko wake?
Akili yako haina akiliKwamba io milioni 5 itanunua dawa za nchi nzima au kwa akili yako unazani maendeleo ni kua na dawa tu hujui kua kuna sekta nyingine kama hizi za michezo
Akili yako haina akili
Hao watoto wenyewe ni Yanga ma simbaThis is misuse of public fund aisee. Hivi kabisa unakua uko sawa kiakili unatoa mil 50 unaipa timu wakati kuna watoto huko hawana vyoo? Nani anamshauri Rais ujinga huu? Hivi anafanya hivi akiwa amelenga impact yake nini? Yani nchi hii ambayo wamama wajawazito wanajifungulia chini hakuna vitanda, hospital hazina dawa, kuna maeneo hayajafikiwa na maji alaf unatoa millions of money unampa Ghalib na Mohamed Dewj.
Hivi mbona hili hata halihitaji degree kujua kama kinachofanyika ni utopolo? Hivi anajisikiaje mtanzania ambaye serikali yake imefuta toto afya card et kuna mtu akifunga goli anapata mil 10.
Wakati nafanya research yangu nilifanya Newala DC aisee yani unakuta idara karibu zote ndani ya Halmashauri hakuna hata moja yenye gari. Yani unakuta afisa elimu hana gari, anaendaje ndani huko? Afisa mifugo wqla afisa kilimo hakuna mwenye gari. Sasa unajiuliza hao wakulima wanafikiwaje? Mara paap unasikia et leo katoa Mil 30 kuipa Yanga. Dah hii nchi kuna mahali tilimkosea Mungu ameamua kutupa adhabu kwa kutuletea huyu mama
Huyu mama nchi imemshinda aisee. Sijui nani alimpendekeza awe makamu wa Rais. Ametuletea shida zote hizi
Wew kwa akili yako unaona hzo milkions of money inaongeza chochote kwenye sekta ya michezo?Kwamba io milioni 5 itanunua dawa za nchi nzima au kwa akili yako unazani maendeleo ni kua na dawa tu hujui kua kuna sekta nyingine kama hizi za michezo
Mjinga ni wewe hapo ambae huoni ata ushindi wa timu ya kutoka Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa kua ni faida kwa TaifaWew kwa akili yako unaona hzo milkions of money inaongeza chochote kwenye sekta ya michezo?
Kweli nchi hii wajinga ni wengi
Soka la Tanzania kukua au wafuasi wa chama cha mambumbumbu kuongezeka kwa kupitia upumbavu wa mpira wa Simba na Yanga!!??Kwani huoni kwamba pesa zinawapa motisha wachezaji na io itapelekea soka la Tanzania kukua
Hata ukienda Mwananyamara unaokoa maisha ya watu wengiKwamba io milioni 5 itanunua dawa za nchi nzima au kwa akili yako unazani maendeleo ni kua na dawa tu hujui kua kuna sekta nyingine kama hizi za michezo
Type yako mnanunua bundle na bia while kijijini hawajalaThis is misuse of public fund aisee. Hivi kabisa unakua uko sawa kiakili unatoa mil 50 unaipa timu wakati kuna watoto huko hawana vyoo? Nani anamshauri Rais ujinga huu? Hivi anafanya hivi akiwa amelenga impact yake nini? Yani nchi hii ambayo wamama wajawazito wanajifungulia chini hakuna vitanda, hospital hazina dawa, kuna maeneo hayajafikiwa na maji alaf unatoa millions of money unampa Ghalib na Mohamed Dewj.
Hivi mbona hili hata halihitaji degree kujua kama kinachofanyika ni utopolo? Hivi anajisikiaje mtanzania ambaye serikali yake imefuta toto afya card et kuna mtu akifunga goli anapata mil 10.
Wakati nafanya research yangu nilifanya Newala DC aisee yani unakuta idara karibu zote ndani ya Halmashauri hakuna hata moja yenye gari. Yani unakuta afisa elimu hana gari, anaendaje ndani huko? Afisa mifugo wqla afisa kilimo hakuna mwenye gari. Sasa unajiuliza hao wakulima wanafikiwaje? Mara paap unasikia et leo katoa Mil 30 kuipa Yanga. Dah hii nchi kuna mahali tilimkosea Mungu ameamua kutupa adhabu kwa kutuletea huyu mama
Huyu mama nchi imemshinda aisee. Sijui nani alimpendekeza awe makamu wa Rais. Ametuletea shida zote hizi
Mipira & miziki hutumika kuwapumbuwaza watuKura za wajinga zinanunuliwa kwa udi na uvumba