oyayakaranga
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 677
- 396
Muongo kabisa aisee
Then what...labda ingekuwa mtu akifa anarudishwa sawa kumbe nywele tuu.
Hiyo product inatoka nchi gani ? Na huko inapotoka hakuna hao wenye vipara isije kuleta madhara ktk ubongo na tunawategemea wenye vipara walete viwanda ninawasiwasi na hiyo dawa
Dk, Kigwangala si yupo jamani?hakuna kitu kama hicho,tuliotumia haikuonyesha mabadiliko yeyote na hakuna hata mtu mmoja aliyerudisha majibu yenye matumaini.
hahahyaani huu uzi bado upo!
Hii dawa bd ipo nataka kujaribuAliyekuwa anarudisha watu wakifa ni Yesu pekee, sisi hilo hatuliwezi.
Si nywele tu ni tiba ya mambo mengi tu na inapotoka ni Tanzania.
Usifikiri kila mwenye kipara ni kwa kupenda, wengine ni matatizo.
Wasiwasi ni wako, sisi tukusaidie vipi?
kumbe vipara wengi humu eeeh? lol
Wajanja wanatafuta pesaDk, Kigwangala si yupo jamani?
Atashughulikia tu hii ishu!
tehe tehe tehe vipara ng'otoWote nywele zimewarudia....ππππππ