oyayakaranga
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 677
- 396
Then what...labda ingekuwa mtu akifa anarudishwa sawa kumbe nywele tuu.
Hiyo product inatoka nchi gani ? Na huko inapotoka hakuna hao wenye vipara isije kuleta madhara ktk ubongo na tunawategemea wenye vipara walete viwanda ninawasiwasi na hiyo dawa
Hiyo product inatoka nchi gani ? Na huko inapotoka hakuna hao wenye vipara isije kuleta madhara ktk ubongo na tunawategemea wenye vipara walete viwanda ninawasiwasi na hiyo dawa